Tatizo lako u aandika unavyotaka wewe ueleweke, lakini hakuna mtu amesema kuwa Coronavirus vimeisha Tanzania. Tuliyo yasikia wengi ni kwamba Covid-19 ipo na tuchukue tahadhari ambazo zimetolewa na wizara ya Afya.
Hiyo haitufanyi sisi tukakosa kufanya shughuli zetu za kujipatia kipato kama kawaida yetu.
Covid-19 bado ipo ila zile hofu ambazo WTO na wengineo walitutabiria kuwa tutaokota mizoga ya ndugu zetu barabarani a kwamba hospitali zetu zitaelemewa, hiyo haipo na haitakuwa kuwepo.
Tatizo hapa wenzetu wanatungumzia hali yetu wakati maisha yetu hawayajui.
Sent using
Jamii Forums mobile app