Wewe endelea kufuatua mwendazake kasha ondoka na sera zake mbovuHilo la watanzania wajifunze kusomesha watoto wao linatoka wapi ? Sisi tuliambiwa tufyatue watoto, serikali itawasomesha.
Kazi tuliyotumwa tumeimaliza, ni wakati serikali ihangaike na hao watoto