KERO Serikali lifungieni jengo la Walimu(Mwalimu House) halikidhi viwango. Vyoo vyote vibovu, Lifti haifanyi kazi mwaka wa 5 huu

KERO Serikali lifungieni jengo la Walimu(Mwalimu House) halikidhi viwango. Vyoo vyote vibovu, Lifti haifanyi kazi mwaka wa 5 huu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Habari zenu mabibi na mabwana,

Naiomba serikali kupitia vitengo vyake vya kusimamia majengo nchini kulifungia haraka sana hilo jengo linahatarisha maisha ya mwanaadamu.

Jengo la ghorofa 8 ni mwaka wa 5 sasaivi lifti yake haifanyi kazi sisi kama wapangaji tunapata tabu sana.

Nijuavyo mimi jengo lenye kuzidi gorofa 4 ni lazima liwe na lifti ila hili jengo la Mwalimu House lifti yake haifanyi kazi,je mapato yapatikanayo hapo yanaenda wapi.

Jambo la Pili jengo la walimu (Mwalimu House) vyoo vyake vyote ni vichafu sana watu wa afya wilaya/halmashauri ya jiji Ilala nendeni mkakague ni vyoo ambavyo ni vichafu kuzidi vyoo vya kwenye mabaa hapa Ilala.

Jioneeni picha jinsi vyoo vya Jengo la walimu nchini lilivyo

437754670_1135078167711876_8709390480090779044_n.jpg
438329629_1229004188070708_8945752695978009783_n.jpg
440826755_1372490096794857_3144580041347068715_n.jpg
440853282_854937263343467_5574519808263910279_n.jpg
440850482_271947419245072_1808822231563139523_n.jpg
440802814_1203671834376157_1991499400011188440_n.jpg
 
Jana nilipita hapo nikaona yale maandishi makubwa yanasomeka

"HAMA C A WAALIMU TANZANIA"

Maandishi mengine yameanguka,kichwani nikaanza kuwaza,hivi mwaalimu anategemea haki na mikakati kutoka kwenye taasisi ambayo hata haijui kama maandishi ya jengo lake hayapo sawa???nusu nipige picha sema niliyekuwa naye kwenye dala dala angenijua.

Hii nchi ina mafala sana ktk ofisi za uma.
 
Habari zenu mabibi na mabwana,

Naiomba serikali kupitia vitengo vyake vya kusimamia majengo nchini kulifungia haraka sana hilo jengo linahatarisha maisha ya mwanaadamu.

Jengo la ghorofa 8 ni mwaka wa 5 sasaivi lifti yake haifanyi kazi sisi kama wapangaji tunapata tabu sana.

Nijuavyo mimi jengo lenye kuzidi gorofa 4 ni lazima liwe na lifti ila hili jengo la Mwalimu House lifti yake haifanyi kazi,je mapato yapatikanayo hapo yanaenda wapi.

Jambo la Pili jengo la walimu (Mwalimu House) vyoo vyake vyote ni vichafu sana watu wa afya wilaya/halmashauri ya jiji Ilala nendeni mkakague ni vyoo ambavyo ni vichafu kuzidi vyoo vya kwenye mabaa hapa Ilala.

Jioneeni picha jinsi vyoo vya Jengo la walimu nchini lilivyo

View attachment 3001785View attachment 3001786View attachment 3001787View attachment 3001788View attachment 3001789View attachment 3001790
Maofisi mengi yamehama sasa hivi hapo kuna maofisi ya madalali na matapeli.
CWT hilo ndio eneo lao la kipigia kodi kwa kuweka kilemba kwenye kodi zilipwazo.
Kulikuwa na Baraza la ARdhi la Kata chini ya mkwe wa Magiufuli Bi. Bigambo ila imewalazimu kuhamia Wizara ya ARdhi pale Kivukoni.
Walimu wamebaki kuchapisha mafulana na kugawa tuzo kwa watesi wa wanyonge.
 
Jana nilipita hapo nikaona yale maandishi makubwa yanasomeka

"HAMA C A WAALIMU TANZANIA"

Maandishi mengine yameanguka,kichwani nikaanza kuwaza,hivi mwaalimu anategemea haki na mikakati kutoka kwenye taasisi ambayo hata haijui kama maandishi ya jengo lake hayapo sawa???nusu nipige picha sema niliyekuwa naye kwenye dala dala angenijua.

Hii nchi ina mafala sana ktk ofisi za uma.
NILIONA BANA
 
Back
Top Bottom