DidYouKnow
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,229
- 1,950
Si uache kazi sasa.Ni wiki sasa sijalipwa mshahara kwakuwa sijakamilisha fomu ya pepmis.
Ni makosa ya mwajiri wangu lakini ok tuseme ni makosa yangu.
Kwakweli Mungu ni mwema.
Nimekamilisha tayari kujaza ile fomu . Sijui taingiziwa lini mshahara.
Lakini Mungu 🤣🤣🤣🤣 amedouble pesa kwenye biashara zangu.
Kweli Mungu yupo na wanyonge 😂😂😂😂😂.
Kwa moyo wa uzalendo niko tayari nifanye kazi bila mshahara na posho.
KAZI NI IBADA
AsantePoleee sana
Kabisa aseeWatu wanamastrago yamaisha hatariii na wako kimyaa wanafaiti.
Wewe wiki tuu hujalipwa unaleta matangazo moob!! Acha ushamba pambana na maisha kivyako usthadithie viujinga vyako
Mkuu kwenye kitu ambacho hutakiwi kufumbia macho ni hilo la maslahi mimi boss wangu tulizunguana kwasababu ya OC wewe mshahara na unakaa kimya kama wanataka sheria kweli mbona hela za likizo hawalipi kwa wakati watu wanaenda likizo bila malipo mimi ukitumia sheria basi utumie kote kote sio watumie kukandamiza watumishi kuna madai mengi ya watumishi hayafanyiwi kazi mtafute kibatala mkuu.Kwahiyo nikiwaburuza court naweza kupata sh ngapi?
Unafikiri kwa Tanzania hii hata ukiwa unazijua Sheria hautanyanyasika?Watanzania wengi hamjui sheria na ndio maana kila siku mnaonewa hakuna kipengele chochote kinachosema mtumishi akishindwa kujaza pepmis akatwe mshahara yaani hapo ilikuwa wakulipe fidia.
Ni aina ya kinywaji kinachotengenezwa na kampuni ya PepsiPepmis ndio nini? Wana undugu na Pep Guardiola?
Hiyo PEPMIS umeongelea kana kwamba kila mtu anaifahamu. Ndio kitu gani hicho?
BTW Hongera kwa kujaza hiyo fomu ya PEPMI
Hawana shida na hela siku hizi, kila siku wanakusanya kila mwanafunzi 200 na kila wiki sh 1000 kwa kila mwanafunzi za mitihani. Kuna shule zina Hadi wanafunzi 5000Walimu mna mikwara sana!
Hadi tunatamani likizo zifutwe😹😹Hawana shida na hela siku hizi, kila siku wanakusanya kila mwanafunzi 200 na kila wiki sh 1000 kwa kila mwanafunzi za mitihani. Kuna shule zina Hadi wanafunzi 5000
MmmhNi wiki sasa sijalipwa mshahara kwakuwa sijakamilisha fomu ya pepmis.
Ni makosa ya mwajiri wangu lakini ok tuseme ni makosa yangu.
Kwakweli Mungu ni mwema.
Nimekamilisha tayari kujaza ile fomu. Sijui taingiziwa lini mshahara.
Lakini Mungu 🤣🤣🤣🤣 amedouble pesa kwenye biashara zangu.
Kweli Mungu yupo na wanyonge 😂😂😂😂😂.
Kwa moyo wa uzalendo niko tayari nifanye kazi bila mshahara na posho.
KAZI NI IBADA