Serikali lipeni mshahara wangu wa Machi

Serikali lipeni mshahara wangu wa Machi

Ni wiki sasa sijalipwa mshahara kwakuwa sijakamilisha fomu ya pepmis.
Ni makosa ya mwajiri wangu lakini ok tuseme ni makosa yangu.
Kwakweli Mungu ni mwema.
Nimekamilisha tayari kujaza ile fomu . Sijui taingiziwa lini mshahara.
Lakini Mungu 🤣🤣🤣🤣 amedouble pesa kwenye biashara zangu.
Kweli Mungu yupo na wanyonge 😂😂😂😂😂.
Kwa moyo wa uzalendo niko tayari nifanye kazi bila mshahara na posho.
KAZI NI IBADA
Si uache kazi sasa.
 
Watu wanamastrago yamaisha hatariii na wako kimyaa wanafaiti.
Wewe wiki tuu hujalipwa unaleta matangazo moob!! Acha ushamba pambana na maisha kivyako usthadithie viujinga vyako
 
Kwahiyo nikiwaburuza court naweza kupata sh ngapi?
Mkuu kwenye kitu ambacho hutakiwi kufumbia macho ni hilo la maslahi mimi boss wangu tulizunguana kwasababu ya OC wewe mshahara na unakaa kimya kama wanataka sheria kweli mbona hela za likizo hawalipi kwa wakati watu wanaenda likizo bila malipo mimi ukitumia sheria basi utumie kote kote sio watumie kukandamiza watumishi kuna madai mengi ya watumishi hayafanyiwi kazi mtafute kibatala mkuu.
 
Hiyo PEPMIS umeongelea kana kwamba kila mtu anaifahamu. Ndio kitu gani hicho?

BTW Hongera kwa kujaza hiyo fomu ya PEPMIS.
 
Watanzania wengi hamjui sheria na ndio maana kila siku mnaonewa hakuna kipengele chochote kinachosema mtumishi akishindwa kujaza pepmis akatwe mshahara yaani hapo ilikuwa wakulipe fidia.
Unafikiri kwa Tanzania hii hata ukiwa unazijua Sheria hautanyanyasika?

Tanzania hii niijuayo inatumia falsafa ya mwenye nazo mhudumie.
 
Mpo wengi
IMG-20240327-WA0012.jpg
 
Hawana shida na hela siku hizi, kila siku wanakusanya kila mwanafunzi 200 na kila wiki sh 1000 kwa kila mwanafunzi za mitihani. Kuna shule zina Hadi wanafunzi 5000
Hadi tunatamani likizo zifutwe😹😹
 
Ni wiki sasa sijalipwa mshahara kwakuwa sijakamilisha fomu ya pepmis.

Ni makosa ya mwajiri wangu lakini ok tuseme ni makosa yangu.

Kwakweli Mungu ni mwema.

Nimekamilisha tayari kujaza ile fomu. Sijui taingiziwa lini mshahara.

Lakini Mungu 🤣🤣🤣🤣 amedouble pesa kwenye biashara zangu.

Kweli Mungu yupo na wanyonge 😂😂😂😂😂.

Kwa moyo wa uzalendo niko tayari nifanye kazi bila mshahara na posho.

KAZI NI IBADA
Mmmh
 
Back
Top Bottom