Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Halafu ile kodi ya uchakavu waikose?
πππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ile kodi ya uchakavu waikose?
Mtatumia virikuu vya Masudi Kipanya taka msitake!kenya na tanzania kiuchumi tofauti sana,kenya wana assemble magari mengi,tanzania labda wapige marufuku kuanzia 2000 kushuka chini...
Waziri mkuu amesema magari yaliotengenezwa chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini, naona tunakoelekea kumiliki gari itakuwa ujipange haswa.
Na biashara ya magari yaliondani ya nchi inaenda kukua kwa Kasi.
Nadhani sheria ipo wazi...Zaidi ya miaka 10 is too much jaman, hilo ni Sawa, sio kila kitu ni cha kupinga.
Ni vizuri.. itapunguza uchafuzi wa mazingiraSerikali ya tanzania imepiga marufuku magari yaliyotengenezwa chini ya 2010
kuingizwa nchini,cjui wadau mnasemaje kuhusu hili,maana itakuwa wenye magari ni matajiri tu.
View attachment 2181875
Pitia sheria zake utaelewa... hakuna gari lisilo la maana, sheria ilitungwa kwa nia njema labda kama utekelezaji una suasua mpaka mh. ameamua kuweka sawaHii kauli tunaweza kuichukulia poa lakini Kuna magari ya maana sana Hatutayaona tena yakiingizwa Nchini..
Haya yafuatayoView attachment 2181908View attachment 2181909View attachment 2181911View attachment 2181913View attachment 2181914View attachment 2181915
Magari Yoote haya yametengenezwa 2009 kurudi nyuma....
Siyo rahisi kutekelezeka kwa hyo kauli...
Sijui kama wanamaanisha kweli walichokisema
Waandishi wetu wa habari hawajiongezi kutuelimisha sisi wasomaje. Sababu ya Serikali kupiga marufuku magari yaliyotengenezwa miaka 12 iliyopita ni nini?Muhimu kuwe na mindset, mentality mpya. Kwamba gari ni kitu muhimu sana kwa kuchochea maendeleo karibu kwenye kila sekta hapa TZ. Siyo anasa.
Ni muhimu kama barabara, simu, hospitali, masoko, kazi, biashara. Kiungo muhimu sana kwa mkulima, mfanyakazi, mfanyabiashara, mgonjwa, mwanafunzi, kuchochea biashara, wagonjwa kuwawahisha hospitalini, ufanisi.
Hakuna haja ya kuyapiga marufuku, just ongeza kodi. Kuna wengi wanayapenda na wako tayari kulipia pesa yoyote kuyapata. Kutokana na kodi kubwa hayatakuwa mengi. Wanaweza kutoza kodi 150%- 200% magari ya zamani na magari ya kuanzia 2010- 2022 kama 25%.
Wakifanya hivyo tutapata gari nyingi imara, rafiki kwa mazingira, tutapunguza ajali, kuongeza ufanisi, ajira, mapato serikalini.
Waandishi wetu wa habari hawajiongezi kutuelimisha sisi wasomaje. Sababu ya Serikali kupiga marufuku magari yaliyotengenezwa miaka 12 iliyopita ni nini? 1) Je Tanzania inageuka jalala ya kutupia magari chakavu, 2) je haya magari yanatumia teknologia ya zamani ambampo yakitembea barabarani yanatoa kemikali zinazochafua hewa na kuhatarisha maisha ya watu na mazingira, 3) haya magari yakingia nchini hayadumu hata miezi sita na inakuwa hasara kwa mnunuzi na nchi kwa kupoteza fedha za kigeni ambazo zingetumika kuagiza mahitaji mengine - kama madawa na chakula.
Kuwa na viwanda vya hayo magari hakukufanyi uweze ku-afford hayo magari.Kama umeelewa hapo kwenye neno "uchumi wetu" basi wala usingeleta hoja ya kutokuijua serikali yetu.
Hapo nimeweka wazi kabisa uchumi huo hatujaufikia.
Waziri mkuu amesema magari yaliotengenezwa chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini, naona tunakoelekea kumiliki gari itakuwa ujipange haswa.
Na biashara ya magari yaliondani ya nchi inaenda kukua kwa Kasi.
====================================
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema magari yaliotengenezwa chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini.
βTanzania haitakiwi kuwa dampo kwa kuleta magari yaliyopitwa na wakati, Bunge letu limeshapitisha sheria kuwa magari yote yanayoingizwa nchini yawe yametengenezwa baada ya mwaka 2010 kuja huku mbele na siyo nyuma ya hapo, huo ni wajibu wa TBS, lazima ijiridhishe na ielimishe wanaoagiza magari,β - Majaliwa.
Ameitaka Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makontena Tanzania (TICTS) kuimarisha utendaji kazi wake ikiwemo kuacha kuchelewesha ushushaji wa mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam.
Huyo waziri mkuu wenu ni mmoja ya watu wanaoongoza kwa kutoa kauli ambazo ni lifeless, mwaka jana aliwaambia Mzee Magufuli yupo ikulu anakagua mafaili wakati mzee wa Watu yupo mbinguni tayari.Waziri mkuu amesema magari yaliotengenezwa chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini, naona tunakoelekea kumiliki gari itakuwa ujipange haswa.
Na biashara ya magari yaliondani ya nchi inaenda kukua kwa Kasi.
====================================
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema magari yaliotengenezwa chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini.
βTanzania haitakiwi kuwa dampo kwa kuleta magari yaliyopitwa na wakati, Bunge letu limeshapitisha sheria kuwa magari yote yanayoingizwa nchini yawe yametengenezwa baada ya mwaka 2010 kuja huku mbele na siyo nyuma ya hapo, huo ni wajibu wa TBS, lazima ijiridhishe na ielimishe wanaoagiza magari,β - Majaliwa.
Ameitaka Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makontena Tanzania (TICTS) kuimarisha utendaji kazi wake ikiwemo kuacha kuchelewesha ushushaji wa mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam.
V8 ya 2009 mzee π΅Hii kauli tunaweza kuichukulia poa lakini Kuna magari ya maana sana Hatutayaona tena yakiingizwa Nchini..
Haya yafuatayoView attachment 2181908View attachment 2181909View attachment 2181911View attachment 2181913View attachment 2181914View attachment 2181915
Magari Yoote haya yametengenezwa 2009 kurudi nyuma....
Siyo rahisi kutekelezeka kwa hyo kauli...
Sijui kama wanamaanisha kweli walichokisema
Ndyo mkuu we unaiona ya kitoto?V8 ya 2009 mzee [emoji43]