Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Passo na engine ya 1KR ni majanga
kuna nissan xtrail model ya 2008 ile gari ni mkasi sana alafu bei mil15+ yani ile gari ndio imeanza kuingia alafu nayo ipigwe block kweli!!!Magari asilimia 80+ ni ya 2009 kushuka chini ha ha agiza crown ya 2011 [emoji1787][emoji1787]
Massoud Kipanya ameshaanza kutengeneza.Nchi fukara halafu mbwembwe nyingi utafikiri watasema tunatengeneza ya kwetu
Yaani umaskini na ujeuri juu kama yule aliesema eti ipo siku tutawauzia mtumba wazungu
Nikweli mfano nowa zimetengenezwa 2005sasa noah old model itakuwaje?makampuni yanayoagiza magari used yatakufa,soko litakuwa dogo,siji hata ya kwenda nchi za jirani kama congo kama yatazuiwa,biashara ya spare used,itakuwa ngumu sana.
View attachment 2181921
Hahahaha. Yaani mafisadi wamerudi wanajua wote Tuna pesa. Yaani Bora tumerudishwa tu loo inkamu kantri. Hivyo na magari wasilete hizo Sheria ni za Mido inkamu kantri.Fusso ya mwaka 1980 inasimamia Million 80+, je ya mwaka 2011 itakuwa ngapi?!
Kwa kifupi katelephone amechijanganya Happ ajui anawaza nn naona amataka kuziba mapato tya kampuni hiiFusso ya mwaka 1980 inasimamia Million 80+, je ya mwaka 2011 itakuwa ngapi?!
MkuuTumechelewa sana kuzuia nchi yetu kuwa jaa la mali chakavu.
Hapo Kenya tu uamuzi kama huu waliufanya kitambo sana na maisha yanasonga.
Kama kipato chako hakijafikia ngazi ya kununua gari, chukua chombo cha usafiri unachokimudu!
Kuna sheria kabisa ya haya mambo na sijui kwa nini waziri hajataka kuliweka kisheria , ila naamini na media nazo zimemnukuu vibaya maana kwa kauli ile , ni kama hajui sheria inasemaje na akitaka kufuta inatakiwa hatua zipi zifatwe.Hayo ni maneno tu yatapita
Massoud Kipanya ameshaanza kutengeneza.
Sidhani kama WM ana uelewa na uingizwaji wa magari. Naamini kakosea kuongea tu.
Kuna taratibu za uingizaji wa magari. Ukiingiza gari lenye umri mkubwa calculator ya TRA inakusubiri.
Kama ni hapa watajikuta hata kodi wataikosa....sasa kama magari hayo tuu hayaingii yataingia magari gani?Hii kauli tunaweza kuichukulia poa lakini Kuna magari ya maana sana Hatutayaona tena yakiingizwa Nchini..
Haya yafuatayoView attachment 2181908View attachment 2181909View attachment 2181911View attachment 2181913View attachment 2181914View attachment 2181915
Magari Yoote haya yametengenezwa 2009 kurudi nyuma....
Siyo rahisi kutekelezeka kwa hyo kauli...
Sijui kama wanamaanisha kweli walichokisema
Hahaahaah ni JANGATusubiri mheshimiwa Rais atasemaje maana huyu katelefoni siyo wa kumuamini sana maana hasemagi ukweli
Nakuunga mkono,serikali ukinunua gari lako na yenyewe unainunulia gari kama ya kwako,yaani ni pasu kwa pasu,ujinga gani huu?Mkuu Mheshimiwa PM MAJALIWA. NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA. NAKUPA EQUATION SIMPO SANA. UKITAKA MAGARI MIAKA 10 KUENDELEA NDO YAINGIE. PUNGUZA USHURU. HAIWEZEKANI MIMI KUNUNUA GARI LA MILLION 30 NATOA 30 NYINGINE YANI USHURU NI 100% HII SERA INAMSAIDIA NANI SASA? HAUWEZI PATA MAGARI 2012 KWENDA JUU KWA NAMNA HII. VIWANDA VYA MAGARI HAMNA, ASSEMBLY POINT HAMNAAA...SASA IWEJE.KODI NI 100% UNATAKA MAGARI 2012 KUENDELEA PUNGUZA USHURU