Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmenenaJapo mgawo utaendelea tu kama kawaida ili wale jamaa wauze 'jinireta'
Nchi gani hali ya hewa imebadilika? Kwahiyo kule Qatar mlienda kujadili miti iliyokatwa wakati wa ujenzi wa hilo bwawa?Hongera japo, misitu ilikatwa mno mpaka kufikia kubadili hali hewa ya nchi yetu.
Mwezi wa 2 watatoa sababu tena
Ikifika Machi 2024 ndio uje kusema maigizo.Wameanza maigizo yao
Zingeongezeka twice.Chuma chako ndio kingezuia ukame? Kingezuia load shedding?Ila hiki chuma kingekuepo hizi shida ndogo dogo ingebaki historiaView attachment 2843129
Katibu mkuu wa wizara ya nishati bwana Mramba ametangaza rasmi kuwa tarehe 25 mwezi wa pili ,mwaka 2024 ndiyo itakuwa siku ya kuwasha umeme wa bwawa la Mwl Nyerere ambalo ujenzi wake ulipingwa na chadema wote pamoja na wana ccm wengi.
Kwenye harakati za kusaini ujenzi wa bwawa hili rais wa awamu ya tano hayati Magufuli alibaki peke yake huku akipata uungwaji mkono kutoka kwa wananchi wanyonge.
Bila shaka waziri wa nishati Mh Biteko hatawaangusha watanzania kwa kutaja ujasiri wa Magufulo kuanzia asubuhi hadi jioni.
View: https://youtu.be/kfSbmmjOyfY?si=jSEqvxFT_6Of9Lpo
Katibu mkuu wa wizara ya nishati bwana Mramba ametangaza rasmi kuwa tarehe 25 mwezi wa pili ,mwaka 2024 ndiyo itakuwa siku ya kuwasha umeme wa bwawa la Mwl Nyerere ambalo ujenzi wake ulipingwa na chadema wote pamoja na wana ccm wengi. Kwenye harakati za kusaini ujenzi wa bwawa hili rais wa awamu ya tano hayati Magufuli alibaki peke yake huku akipata uungwaji mkono kutoka kwa wananchi wanyonge. Bila shaka waziri wa nishati Mh Biteko hatawaangusha watanzania kwa kutaja ujasiri wa Magufulo kuanzia asubuhi hadi jioni.
View: https://youtu.be/kfSbmmjOyfY?si=jSEqvxFT_6Of9Lpo
Katibu mkuu wa wizara ya nishati bwana Mramba ametangaza rasmi kuwa tarehe 25 mwezi wa pili ,mwaka 2024 ndiyo itakuwa siku ya kuwasha umeme wa bwawa la Mwl Nyerere ambalo ujenzi wake ulipingwa na chadema wote pamoja na wana ccm wengi.
Kwenye harakati za kusaini ujenzi wa bwawa hili rais wa awamu ya tano hayati Magufuli alibaki peke yake huku akipata uungwaji mkono kutoka kwa wananchi wanyonge.
Bila shaka waziri wa nishati Mh Biteko hatawaangusha watanzania kwa kutaja ujasiri wa Magufulo kuanzia asubuhi hadi jioni.
View: https://youtu.be/kfSbmmjOyfY?si=jSEqvxFT_6Of9Lpo
Sister mimi sina shida tuombe uzimaIkifika Machi 2024 ndio uje kusema maigizo.
Una ugonjwa wa kuchukua na kupinga Kila kitu 😁😁
Ni matapeli tupu na majangiliMkuu Serikali na Chama cha Majambazi ni wasanii,ndiyo maana huwa nawaita KAOLE SANAA GROUP