Serikali: Mashine ya kwanza ya Kufua Umeme Bwawa la Nyerere itawashwa Mwezi Februari 2024

Serikali: Mashine ya kwanza ya Kufua Umeme Bwawa la Nyerere itawashwa Mwezi Februari 2024

Ikifika Machi 2024 ndio uje kusema maigizo.

Una ugonjwa wa kuchukua na kupinga Kila kitu 😁😁
Tatizo historia..!!
Ulichofanya jana, kinatupa uwezo wa kuona kesho unaweza fanya nini..!! Kasikilize ahadi zilizowahi tolewa juu ya kuanza kwa safari za majaribio za SGR kwenye post #35 hapo juu. Kwa bahati mbaya, kila mtoa ahadi hakuwahi sema chochote juu ya ahadi kama hiyo iliyokwishatolewa na mwezie kabla. Yaani kila mmoja anaongea kama vile jambo hilo yeye ni wa kwanza kulisema..!!

Kumbuka ahadi ya laptop kwa shule za msingi..!!

Kumbuka ahadi ya wazee wa megawati ya kuuza umeme nje ya nchi ifikapo mwaka fyokofyoko...!!!
 
Mwenyezi Mungu amrehemu mwamba JPM huko alipo, alithubutu na kuamua... hawahawa wengine janjajanja maneno meeengi.

JPM angekuwepo hata bei ya umeme ingeshuka kabisa.

Wamalize na SGR waache longolongo.
 
Hizo ni hadithi za kufikirika.Makampuni makubwa Yako Afrika kuchimba Madini, unadhani yataweza kuwa na Ufanisi kama umeme ni ghali na haujitoshelezi?https://www.reuters.com/world/afric...ct-accord-with-edf-led-consortium-2023-12-13/
Ndio maana makampuni ya uchimbaji madini hawategemei umeme wa taifa na hua wanazalisha umeme wao. Katika mkataba hua wanadai kuingiza nishadi bila kodi kwa ajili ya kuzalisha umeme wao. Chunguza utaona ninachosema. Wao wanajua mpango wao huko ubeberuni ni kuhakikisha kwenye nchi zetu hakuna umeme wa kutosha wala umeme wa bei nafuu ili tusiweze kuendeleza viwanda. Jiulize kwa nini sukari itoke brazil ije iuzwe tanzania bei rahisi kuliko iliyozalishwa hapa.
 
Back
Top Bottom