DOKEZO Serikali mchukulieni hatua Mhasibu wa Machame Sekondari, anayoyafanya anawachafua, anatembea na wanafunzi

DOKEZO Serikali mchukulieni hatua Mhasibu wa Machame Sekondari, anayoyafanya anawachafua, anatembea na wanafunzi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Joined
Jun 3, 2023
Posts
8
Reaction score
27
Mhasibu wa Machame Sekondari jirekebishe au serikali ingilieni kati

Mimi ni mwanafunzi nimemaliza hapo mwaka huu

Mhasibu huyu amekuwa akinitongoza kwa muda mrefu Sana, nimetoa taarifa kwa walimu hawajanipa msaada, nimetoa taarifa ya maandishi kwa Mkuu hakuna msaada.

Ninaomba wanajukwaa na viongozi mliopo humu nisaidieni suala hili, limeumiza wanafunzi wengi Sana

More enough kama unadaiwa Deni ukimkubalia kutembea nae anafuta Deni ukimkatalia anaongeza Deni. Anatia hasara serikali.

Amekuwa pia na tabia ya kuletea wanafunzi pombe anawalewesha na kutembea nae, pia ndio anayechajia wanafunzi simu.

Naomba msaada.
 
Mwasibu wa machame sekondari jirekebishe au gvt ingilieni kati

Mimi ni mwanafunzi nimemaliza hapo mwaka huu

Mwasibu huyu amekuwa akinitongiza kwa muda mrefu Sana, nimetoa taarifa kwa walimu hawajanipa msaada, nimetoa taarifa ya maandishi kwa Mkuu hakuna msaada,

Ninaomba wanajukwaa na viongozi mliopo humu nisaidieni swala hili, limeumiza wanafunzi wengi Sana

More enough Kama unadaiwa Deni ukimkubalia kutembea nae anafuta Deni ukimkatalia anaongeza Deni. Anatia hasara serikali.

Amekuwa pia na tabia ya kuletea wanafunzi pombe anawalewesha na kutembea nae, pia ndio anaechajia wanafunzi simu.

Naomba msaada.
ummy mwalimu
@wizara ya afya
 
Taasisi hasa shule usije chukua mambo kishabiki hivi
Utapotea
Huu ni upumbavu, huyu ni whistle blower anatakiwa alindwe na apewe heshima kwa kuliandika hili, atakua ameokoa wengi, nadhani wewe huna mtoto hasa wa kike, mtoa mada nchi inahitaji push back ya nguvu ili tupate katiba mpya, katiba hii itatupatia mtu atakayeitwa PUBLIC PROTECTOR, na hii case ingetua ofisini kwake na elewa maamuzi yake ni court binding (ana hadhi ya ujaji),for now ni ngumu sana kwa mtoto wa kike kuwa kwenye hizi institutions zetu, JKT binafsi ningekua na mtoto wa kike ningempiga NO kwenda kule, nimepitia na najua kinachofanyika kule, awamu yangu wanaume tulikua tough na tuliweza kutengeneza iron ring kumzunguka mtoto wa kike aliyekua anatakiwa na OC na tukamudu kumlinda
 
Mhasibu wa Machame Sekondari jirekebishe au serikali ingilieni kati

Mimi ni mwanafunzi nimemaliza hapo mwaka huu

Mhasibu huyu amekuwa akinitongoza kwa muda mrefu Sana, nimetoa taarifa kwa walimu hawajanipa msaada, nimetoa taarifa ya maandishi kwa Mkuu hakuna msaada.

Ninaomba wanajukwaa na viongozi mliopo humu nisaidieni suala hili, limeumiza wanafunzi wengi Sana

More enough kama unadaiwa Deni ukimkubalia kutembea nae anafuta Deni ukimkatalia anaongeza Deni. Anatia hasara serikali.

Amekuwa pia na tabia ya kuletea wanafunzi pombe anawalewesha na kutembea nae, pia ndio anayechajia wanafunzi simu.

Naomba msaada.
Ukihitajika uko tayari kutoka mafichoni?.
 
Mhasibu wa Machame Sekondari jirekebishe au serikali ingilieni kati

Mimi ni mwanafunzi nimemaliza hapo mwaka huu

Mhasibu huyu amekuwa akinitongoza kwa muda mrefu Sana, nimetoa taarifa kwa walimu hawajanipa msaada, nimetoa taarifa ya maandishi kwa Mkuu hakuna msaada.

Ninaomba wanajukwaa na viongozi mliopo humu nisaidieni suala hili, limeumiza wanafunzi wengi Sana

More enough kama unadaiwa Deni ukimkubalia kutembea nae anafuta Deni ukimkatalia anaongeza Deni. Anatia hasara serikali.

Amekuwa pia na tabia ya kuletea wanafunzi pombe anawalewesha na kutembea nae, pia ndio anayechajia wanafunzi simu.

Naomba msaada.
 

Attachments

  • 371D989E-42B8-4D49-B9CA-19698CBEC74B.jpeg
    371D989E-42B8-4D49-B9CA-19698CBEC74B.jpeg
    32.5 KB · Views: 8
Huu ni upumbavu, huyu ni whistle blower anatakiwa alindwe na apewe heshima kwa kuliandika hili, atakua ameokoa wengi, nadhani wewe huna mtoto hasa wa kike, mtoa mada nchi inahitaji push back ya nguvu ili tupate katiba mpya, katiba hii itatupatia mtu atakayeitwa PUBLIC PROTECTOR, na hii case ingetua ofisini kwake na elewa maamuzi yake ni court binding (ana hadhi ya ujaji),for now ni ngumu sana kwa mtoto wa kike kuwa kwenye hizi institutions zetu, JKT binafsi ningekua na mtoto wa kike ningempiga NO kwenda kule, nimepitia na najua kinachofanyika kule, awamu yangu wanaume tulikua tough na tuliweza kutengeneza iron ring kumzunguka mtoto wa kike aliyekua anatakiwa na OC na tukamudu kumlinda
Unless you didn't understand what I write
 
Stella wa bunju, jambo hili tunalipokea na kukuahidi kulifanyia kazi ili kuubaini ukweli na kuchukua hatua stahiki.

Be rest assured kwamba Serikali yako ni sikivu na makini. Utakapohitajika kutoa ishirikiano wowote, usisite kufanya hivyo.
Ah, Dunia hii kuna watu wa ajabu sana. Unaweza kuta jamaa ni muathirika kama maabara anayejifunza kuambukiza watu UKIMWI. Tunatumaini wakili Msomi wetu wa JF. Saidia hawa wanafunzi maana jamaa anawaambukiza UKIMWI watoto wetu. Mungu akiuongoza.
 
Mhasibu wa Machame Sekondari jirekebishe au serikali ingilieni kati

Mimi ni mwanafunzi nimemaliza hapo mwaka huu

Mhasibu huyu amekuwa akinitongoza kwa muda mrefu Sana, nimetoa taarifa kwa walimu hawajanipa msaada, nimetoa taarifa ya maandishi kwa Mkuu hakuna msaada.

Ninaomba wanajukwaa na viongozi mliopo humu nisaidieni suala hili, limeumiza wanafunzi wengi Sana

More enough kama unadaiwa Deni ukimkubalia kutembea nae anafuta Deni ukimkatalia anaongeza Deni. Anatia hasara serikali.

Amekuwa pia na tabia ya kuletea wanafunzi pombe anawalewesha na kutembea nae, pia ndio anayechajia wanafunzi simu.

Naomba msaada.
More enough kama unadaiwa Deni ukimkubalia kutembea nae anafuta Deni ukimkatalia anaongeza Deni. Anatia hasara serikali.[emoji3064]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni upumbavu, huyu ni whistle blower anatakiwa alindwe na apewe heshima kwa kuliandika hili, atakua ameokoa wengi, nadhani wewe huna mtoto hasa wa kike, mtoa mada nchi inahitaji push back ya nguvu ili tupate katiba mpya, katiba hii itatupatia mtu atakayeitwa PUBLIC PROTECTOR, na hii case ingetua ofisini kwake na elewa maamuzi yake ni court binding (ana hadhi ya ujaji),for now ni ngumu sana kwa mtoto wa kike kuwa kwenye hizi institutions zetu, JKT binafsi ningekua na mtoto wa kike ningempiga NO kwenda kule, nimepitia na najua kinachofanyika kule, awamu yangu wanaume tulikua tough na tuliweza kutengeneza iron ring kumzunguka mtoto wa kike aliyekua anatakiwa na OC na tukamudu kumlinda
Kwa taarifa tu Mkuu, tayari tunayo whistle blowers Act, pia katiba ya 1977 imemtambua chini ya bill of rights.

Kwenye mada:-

Mdau hajakosea kusema haya mambo si ya kuyachukua juu juu kama yalivyo. Ukute huyu ni mwalimu ila amejiita mwanafunzi ili alete tention tu huku.

Nimeshuhudia mwajiriwa mmoja akipambana na bosi wake wa idara kisa demu wa field kwa mfumo huu huu hapa. Mambo ya mapenzi ni ya hovyo sana.
 
Back
Top Bottom