Serikali mhemko: Vyuo vyote vikuu Dar vimefungwa kupisha mkutano ya viongozi

Serikali mhemko: Vyuo vyote vikuu Dar vimefungwa kupisha mkutano ya viongozi

Sam Richards

Member
Joined
May 3, 2019
Posts
76
Reaction score
155
Leo tare 27.1.2025 serikali imefunga vyuo vikuu vilivyopo Dar es salaam kupisha suala la "Mkutano wa wakuu wa nchi" 🤧 pamoja na shughuli zingine za kiuchumi zimesimamishwa.

Fikiria kwa wanachuo wanaosoma DIT,NIT,IFM,TUMAINI, UDSM, ARDHI hadi ST. JOSEPH UNIVERSITY IN TANZANIA cha mbezi nacho kimefungiwa kufanya kazi kwa siku 2 hivi serikal imeona nini hadi kuzuia visiendeleze masuala ya kitaaluma?

Fikiria tu kwa siku hizi 2 ni kiasi gani raia wataathirika na suala la mkutano, barabara 9 kuu zimefungwa na zote hizo hutumika pakubwa kuingiza na kutoa raia mjini.

Huwa ninawaza sana na ni kweli kuwa TANZANIA TUNA SERIKALI DHAIFU NA VIONGOZI VIPOFU KUWAHI KUTOKEA.
 
Subiri baada ya huu mkutano Lucas atakavyokuwa anampamba mama yake na kububujikwa na machozi yasiyo kuwa na ukomo

Sema huu nao uchizi,unafunga taasisi za umma kisa mkutano?.Kama ni jambo la usalama au wepesi wa viongozi kutembea na magari yao(foleni)mbona hizo barabara zingefungwa tu pale misafara yao ikianza na wakimaliza wanaruhusu raia waendelee na mambo yao(Hovyo kabisa)
 
Viongozi wetu kuna namna upstairs hakujakaa sawa.
Tizama tu matendo yao, maamuzi yao, matamko yao, utaona kabisa kuna nati zimelegea ama hawana kabisa nati zenyewe.
Wamepata kwa sababu ya mfumo mbovu.
 
Leo tare 27.1.2025 serikali imefunga vyuo vikuu vilivyopo Dar es salaam kupisha suala la "Mkutano wa wakuu wa nchi" 🤧 pamoja na shughuli zingine za kiuchumi zimesimamishwa.

Fikiria kwa wanachuo wanaosoma DIT,NIT,IFM,TUMAINI, UDSM, ARDHI hadi ST. JOSEPH UNIVERSITY IN TANZANIA cha mbezi nacho kimefungiwa kufanya kazi kwa siku 2 hivi serikal imeona nini hadi kuzuia visiendeleze masuala ya kitaaluma?

Fikiria tu kwa siku hizi 2 ni kiasi gani raia wataathirika na suala la mkutano, barabara 9 kuu zimefungwa na zote hizo hutumika pakubwa kuingiza na kutoa raia mjini.

Huwa ninawaza sana na ni kweli kuwa TANZANIA TUNA SERIKALI DHAIFU NA VIONGOZI VIPOFU KUWAHI KUTOKEA.
Usicoplicate sana maisha ww. Relax. I guarantee you baada ya miaka mia ww na hao wanaokuja mkutanoni hamtakuwepo kwenye uso wa dunia.

Relax gonga beer
 
Leo tare 27.1.2025 serikali imefunga vyuo vikuu vilivyopo Dar es salaam kupisha suala la "Mkutano wa wakuu wa nchi" 🤧 pamoja na shughuli zingine za kiuchumi zimesimamishwa.

Fikiria kwa wanachuo wanaosoma DIT,NIT,IFM,TUMAINI, UDSM, ARDHI hadi ST. JOSEPH UNIVERSITY IN TANZANIA cha mbezi nacho kimefungiwa kufanya kazi kwa siku 2 hivi serikal imeona nini hadi kuzuia visiendeleze masuala ya kitaaluma?

Fikiria tu kwa siku hizi 2 ni kiasi gani raia wataathirika na suala la mkutano, barabara 9 kuu zimefungwa na zote hizo hutumika pakubwa kuingiza na kutoa raia mjini.

Huwa ninawaza sana na ni kweli kuwa TANZANIA TUNA SERIKALI DHAIFU NA VIONGOZI VIPOFU KUWAHI KUTOKEA.
CCM akili hawana. Huo ndio uwezo wao wa kufikiri unapoishia.
 
Subiri baada ya huu mkutano Lucas atakavyokuwa anampamba mama yake na kububujikwa na machozi yasiyo kuwa na ukomo

Sema huu nao uchizi,unafunga taasisi za umma kisa mkutano?.Kama ni jambo la usalama au wepesi wa viongozi kutembea na magari yao(foleni)mbona hizo barabara zingefungwa tu pale misafara yao ikianza na wakimaliza wanaruhusu raia waendelee na mambo yao(Hovyo kabisa)
😂🤣🤣🤣🤣 Napita tu mimi
 
Hivi na wenzetu kama marekani au china Huwa wanafanya huu ujinga unaofanywa na viongozi wa hapa Nchi ya kusadikika?
 
Tisa kumi wamesitisha hadi usahili wa walimu wa kiswahili sababu ya huu mkutano ,, kweli hii nchi ni kichwa cha mwenda wazimu
 
Huu ni ushamba na ukurupukaji kwa nchi yetu kwa kweli inashangaza! Huko Davos Uswisi na nchi zingine kunakofanyika mikutano ya kimataifa huwa wanafanya kama nchi yetu wanavyofanya jijini dar? je ingekuwa ni mkutano wa dunia, world summit fulani inafanyika nchini hali ingekuaje? Tuko nyuma sana kimaendeleo kwa kweli inasikitisha
 
Huu ni ushamba na ukurupukaji kwa nchi yetu kwa kweli inashangaza! Huko Davos Uswisi na nchi zingine kunakofanyika mikutano ya kimataifa huwa wanafanya kama nchi yetu wanavyofanya jijini dar? je ingekuwa ni mkutano wa dunia, world summit fulani inafanyika nchini hali ingekuaje? Tuko nyuma sana kimaendeleo kwa kweli inasikitisha
Makutano wa dunia tungeambiwa tusitoke ndani
 
Hawataki raia wakamshangilie yule jamaa wa Burkinabe.
 
Huu ni ushamba na ukurupukaji kwa nchi yetu kwa kweli inashangaza! Huko Davos Uswisi na nchi zingine kunakofanyika mikutano ya kimataifa huwa wanafanya kama nchi yetu wanavyofanya jijini dar? je ingekuwa ni mkutano wa dunia, world summit fulani inafanyika nchini hali ingekuaje? Tuko nyuma sana kimaendeleo kwa kweli inasikitisha
Kwani hakujawai kufanya mkutano wa kimataifa Tanzania!! Mbona mara zote watu wanaendelea na shughuli za kila siku na mikutano inaendelea.
 
Back
Top Bottom