Sam Richards
Member
- May 3, 2019
- 76
- 155
- Thread starter
- #21
Hadi vyuo vya tegeta vimefungwaaaJalalani nako wamefunga!!!
Mbona wako nje ya CC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi vyuo vya tegeta vimefungwaaaJalalani nako wamefunga!!!
Mbona wako nje ya CC
Li nchi lako kaka 🤣🤣 nipo hatua za mwisho kukamilisha passport yangu na nikifika huko nawakanaHatari sana
Acheni tupumzke....kusoma nako kuna chosha....siku 2 tu kelele kibaooo je ingekuwa wiki 1.....kipindi cha Corona mbona tulipumzka mwez m1 kiliharibika nini?Leo tare 27.1.2025 serikali imefunga vyuo vikuu vilivyopo Dar es salaam kupisha suala la "Mkutano wa wakuu wa nchi" 🤧 pamoja na shughuli zingine za kiuchumi zimesimamishwa.
Fikiria kwa wanachuo wanaosoma DIT,NIT,IFM,TUMAINI, UDSM, ARDHI hadi ST. JOSEPH UNIVERSITY IN TANZANIA cha mbezi nacho kimefungiwa kufanya kazi kwa siku 2 hivi serikal imeona nini hadi kuzuia visiendeleze masuala ya kitaaluma?
Fikiria tu kwa siku hizi 2 ni kiasi gani raia wataathirika na suala la mkutano, barabara 9 kuu zimefungwa na zote hizo hutumika pakubwa kuingiza na kutoa raia mjini.
Huwa ninawaza sana na ni kweli kuwa TANZANIA TUNA SERIKALI DHAIFU NA VIONGOZI VIPOFU KUWAHI KUTOKE
Ndio li nchi lako mkuu 🤣Subiri baada ya huu mkutano Lucas atakavyokuwa anampamba mama yake na kububujikwa na machozi yasiyo kuwa na ukomo
Sema huu nao uchizi,unafunga taasisi za umma kisa mkutano?.Kama ni jambo la usalama au wepesi wa viongozi kutembea na magari yao(foleni)mbona hizo barabara zingefungwa tu pale misafara yao ikianza na wakimaliza wanaruhusu raia waendelee na mambo yao(Hovyo kabisa)
Tisa kumi wamesitisha hadi usahili wa walimu wa kiswahili sababu ya huu mkutano ,, kweli hii nchi ni kichwa cha mwenda wazimu
Kwani hakujawai kufanya mkutano wa kimataifa Tanzania!! Mbona mara zote watu wanaendelea na shughuli za kila siku na mikutano inaendelea.
Duh aiseee
Kwa ufupi (hasa kwa wale ambao hawajapita Barabara ya Nyerere hivi karibuni) ni kwamba ujenzi wa barabara hiyo ya mwendokasi haujakamilika kwa 100% na kuna maeneo yamefungwa kwa vizuizi, kuna maeneo mnashea lane mnaoenda na wanaokuja nk. Kwa hiyo hatua ya kwanza ilikuwa kuifunga barabara hiyo na nyingine, baada ya hapo kila mamlaka ikaangalia busara zake katika sekta yake, kwamba wanafunzi wanaotumia route ile wasimame halafu wengine waendelee, walimu na staff wengine wanaotumia route ile wasimame halafu wanafunzi wafike nk. Kabla ya hiyo ya Elimu ilitangulia ya Katibu Mkuu Kiongozi, so unaweza ukaona kuwa walikuwa sahihiHuu ni ushamba na ukurupukaji kwa nchi yetu kwa kweli inashangaza!