Serikali mhemko: Vyuo vyote vikuu Dar vimefungwa kupisha mkutano ya viongozi

Acheni tupumzke....kusoma nako kuna chosha....siku 2 tu kelele kibaooo je ingekuwa wiki 1.....kipindi cha Corona mbona tulipumzka mwez m1 kiliharibika nini?
 
Ndio li nchi lako mkuu 🤣
 
Tisa kumi wamesitisha hadi usahili wa walimu wa kiswahili sababu ya huu mkutano ,, kweli hii nchi ni kichwa cha mwenda wazimu
Kwani hakujawai kufanya mkutano wa kimataifa Tanzania!! Mbona mara zote watu wanaendelea na shughuli za kila siku na mikutano inaendelea.
Duh aiseee
Huu ni ushamba na ukurupukaji kwa nchi yetu kwa kweli inashangaza!
Kwa ufupi (hasa kwa wale ambao hawajapita Barabara ya Nyerere hivi karibuni) ni kwamba ujenzi wa barabara hiyo ya mwendokasi haujakamilika kwa 100% na kuna maeneo yamefungwa kwa vizuizi, kuna maeneo mnashea lane mnaoenda na wanaokuja nk. Kwa hiyo hatua ya kwanza ilikuwa kuifunga barabara hiyo na nyingine, baada ya hapo kila mamlaka ikaangalia busara zake katika sekta yake, kwamba wanafunzi wanaotumia route ile wasimame halafu wengine waendelee, walimu na staff wengine wanaotumia route ile wasimame halafu wanafunzi wafike nk. Kabla ya hiyo ya Elimu ilitangulia ya Katibu Mkuu Kiongozi, so unaweza ukaona kuwa walikuwa sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…