Kwa Dodoma lazima wajenge walau ukumbi mmja kama ule wa Jakaya Kikwete Dar maana ni Makao Makuu ya Nchi Kwa hiyo mikutano ya size ya kati wanaweza kufanyia hapo Dom.Wanajenga Arusha, huko kwingine walikotaja ni kuua tu noma kwa nini Arusha.
Mna daraja refu kuliko yote Tanzania, mna SGR bado tuu hamridhiki punguzeni basi makasiriko.Hivi Mwanza waliikosea nini hii serikali ! Mbona inatengwa sana ?
Nan aliwaaminisha hao wajinga wenzako?Wapuuzi hao ,waliaminishwa Tanzania ni Kanda ya Ziwa pekee
SGR hata DODOMA ipo ....daraja hata nyie mngejengewa kama mngekuwa na ziwaMna daraja refu kuliko yote Tanzania, mna SGR bado tuu hamridhiki punguzeni basi makasiriko.
Sgr ipo Mwanza tu? Na ilo daraja ndio linafanya mwanza isipate mradi? Na Dar kuna madaraja mangapi na kila siku rasilimali na miradi mikubwa inapelekwa huko na mikoa mingine inaonekana kama mashambani au ni sehemu za burundi na malawi.Mna daraja refu kuliko yote Tanzania, mna SGR bado tuu hamridhiki punguzeni basi makasiriko.
Sasa kama apigiwe au asipigiwe kura anakuwa rais, kuna haja gani ya kupiga kura?Mkuu punguza hasira ,usipompa kura unapoteza maana utakaowapa hawawezi kuwa Ma Rais 😂😂
Chagueni wabungeSasa kama apigiwe au asipigiwe kura anakuwa rais, kuna haja gani ya kupiga kura?
Wabunge wanamsaada gani kwenye hii kama kila kitu lazima Rais apange na apende yeye wapi apeleke miradi, wabunge wetu kila siku wanajibiwa majibu ya chooni na serikali.Chagueni wabunge
Wajinga walio wengi ndo wanachagua raisi na hapo ndipo hatari ilipo.Tanzania mpo wajinga ndiyo waliwao wengi.
Nani kazungumzia jengo??Watu wanabishana bure lakini rasilimali zetu zimetawanywa kila mahali. Unaweza kumsema Rais vibaya kwasababu za kisiasa lakini ule ukweli anapiga kazi. Pia wawekezaji wanapuwekeza sehemu wanategemea return ya hiyo investment. Kwamfano jengo lililozinduliwa juzi ni la PAPU AFRICA 60% ni hela kutoka mataifa mengine na idea ya ujenzi imeanza kuanzia miaka ya 2000s sasa inapokamilika ni nongwa. Tuache chuki na siasa zisizozamsingi Tanzania itajengwa nasisi sote.
Nani alikwambia ujenzi umeanza 2000? Utafiti ni mhimu sana kuliko kurukia mambo tu!Watu wanabishana bure lakini rasilimali zetu zimetawanywa kila mahali. Unaweza kumsema Rais vibaya kwasababu za kisiasa lakini ule ukweli anapiga kazi. Pia wawekezaji wanapowekeza sehemu wanategemea return ya hiyo investment. Kwamfano jengo lililozinduliwa juzi ni la PAPU AFRICA 60% ni hela kutoka mataifa mengine na idea ya ujenzi imeanza kuanzia miaka ya 2000s sasa inapokamilika ni nongwa. Tuache chuki na siasa zisizozamsingi Tanzania itajengwa nasisi sote.
Tofautisha idea na ujenzi. Usikurupuke sana kukimbilia kubisha soma taratibu utaelewa kisha unakujakutoa comment zenye tija.Nani alikwambia ujenzi umeanza 2000? Utafiti ni mhimu sana kuliko kurukia mambo tu!
Wewe umeshasoma pendekezo la ujenzi wa PAPU lilianza lini? Unajua usilete ujuaji usio na msingi hapa! Nyinyi ndo wale watu msiokuwa na taarifa na kudakia dakia mambo tu! idea ya ujenzi ndo kitu gani? Kwanza ukumbuke hata sehemu ya kujenga walipewa kiwanja miaka ya hivi karibuni na 2019 ujenzi ukaanza!Tofautisha idea na ujenzi. Usikurupuke sana kukimbilia kubisha soma taratibu utaelewa kisha unakujakutoa comment zenye tija.
Ukweli ni kwamba Arusha ni mji wa kimataifa na kila mwezi lazima mama atie timu pale kwa ajili ya mikutano ya kimataifa. JPM alichukia mno Arusha na alishaiua.Nachukia sana hii awamu kashindwa kutembelea mikoa mingine kutwa nzima yupo Arusha, ameona huko ndio kuna upepo mzuri wa kisiasa kwasasa....
Hebu kakojee ukalale .Mwanza kuna utalii au samaki tu .Nachukia sana hii awamu kashindwa kutembelea mikoa mingine kutwa nzima yupo Arusha, ameona huko ndio kuna upepo mzuri wa kisiasa kwasasa....
Kakura Kako hakana impact of losses from majorities!Huyu mama nikimpa kura yangu nimerogwa
Hiyo barabara ni ya East africa chief na ilizinduliwa na kikwete na kenyatta wa kenya 🇰🇪 kuhusu mradi wa maji ndio kabisa uliasisiwa na kikwete 2012 usitudangaje buana! Alafu barabara zipi hizo kila kona mzeeNyie kipindi cha magufuli hamkupata mradi wa barabara bora njia nne, hamkupata mradi wa maji wa bilioni 520, je hamkujengewa barabara kila kona? Au mnatama mradi wa meli, au mnataka mjengewe daraja kuunganisha mlima meru na mlima kilimanjaro? Au sgr kufika Mwanza mnaona nongwa? Kanda ya ziwa ilipendelewa kwa kipi?
Endelea na ujinga na chuki zenu hii mizizi mnayopanda itakuja kuligharimu hili taifa.