Serikali: Miji ya Arusha, Dar, Zanzibar na Dodoma kuipaisha Tanzania kuwa Kitovu Cha Utalii wa Mikutano Duniani.Ukumbi wa 2 kwa Ukubwa Afrika kujengwa

Alikuwa haambiliki hashauriki haelekezeki na chawa wake walikuwa watu wa tajiri huna baya ukifa hauozi
Hata chato nayo ni Tanzania, kwa hiyo uwanja wa ndege wa Mwanza hamuujengi kwasabb magufuli alijenga uwanja wa chato?
 
Mbona Arusha imebebwa kuanzia 1961 na Mikoa mingine kusahauliwa, Nyerere alifanya kosa kubwa sana. na bado mikakati inasukwa kuimaliza kanda ya ziwa,haitawezekana. Wekeni international airport kama KIA na Songwe,JNIA na Zanzibar.
 
N
Mbona Arusha imebebwa kuanzia 1961 na Mikoa mingine kusahauliwa, Nyerere alifanya kosa kubwa sana. na bado mikakati inasukwa kuimaliza kanda ya ziwa,haitawezekana. Wekeni international airport kama KIA na Songwe,JNIA na Zanzibar.
Nyerere aliikumbatia sana Arusha mbka alisahau kwao, kila kitu kikawa Arusha na Dar tu pengine akawa anaona kama ni burundi😂
 
Mbona Arusha imebebwa kuanzia 1961 na Mikoa mingine kusahauliwa, Nyerere alifanya kosa kubwa sana. na bado mikakati inasukwa kuimaliza kanda ya ziwa,haitawezekana. Wekeni international airport kama KIA na Songwe,JNIA na Zanzibar.
Naomba unitajie Arusha imebebwa kwa lipi toka 1961??
Unless otherwise unaongea ile patterns za development za toka mkoloni ambayo maeneo yaliyo favor hali ya hewa wapendayo walowezi kidogo yaliwahi kupata elimu ambayo kwa arusha ni wilaya1 ma 2 tu.
Kanda yq ziwa ili hitaji international Airport lakini si mnayo Chato??!
Mbeya wanayo Songwe ila hamna ndege yaani hakuna safari za kimataifa (hakuna pool factor)
Zanzibar wana international Airport miaka mingi na nyingine inajengwa pemba
Alafu Arusha haijawahi kuwa na international Airport ila pale kisongo ni domestic lakin inaongoza kwa wingi wa ndege.
 

View: https://www.instagram.com/p/C5Db80SolNR/?igsh=MTcyMjRiY3Q5bTI0cg==
 
Mama hana mbambamba kazi imeanza 👇 👇

View: https://www.instagram.com/p/DHCFoBNNjDw/?igsh=ZW85dmhlajJiemI2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…