Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Kuna kundi linajitangaza eti wao ni WAVAMIA VIWANJA.
Kwenye mitandao ya kijamii kundi hili hu comment kwenye baadhi ya mada wakihamasisha wanachama wao waende kuvamia maeneo kadha wa kadha.
"...umoja wa wavamizi wa maeneo unawatangazia wanachama wote twende tukavamie mahali fulani kuna eneo zuri lisilo endelezwa kila mwanachama aambatane na sururu, panga, chepe, kiberti na mifuko ya foronya kwa ajili ya kuchomea nyasi tutakozo kusanya."
Huandika kundi hilo.
Kwenye mitandao ya kijamii kundi hili hu comment kwenye baadhi ya mada wakihamasisha wanachama wao waende kuvamia maeneo kadha wa kadha.
"...umoja wa wavamizi wa maeneo unawatangazia wanachama wote twende tukavamie mahali fulani kuna eneo zuri lisilo endelezwa kila mwanachama aambatane na sururu, panga, chepe, kiberti na mifuko ya foronya kwa ajili ya kuchomea nyasi tutakozo kusanya."
Huandika kundi hilo.