Serikali mmeshindwa Kudhibiti haya Makanisa ya Kilokole yanayokesha Kutupigia Kelele Usiku Kucha ili Sisi Wanaotukera tuchukue Maamuzi?

Serikali mmeshindwa Kudhibiti haya Makanisa ya Kilokole yanayokesha Kutupigia Kelele Usiku Kucha ili Sisi Wanaotukera tuchukue Maamuzi?

Yani wewe jamaa sijui una Nini huu ni kama Uzi Wa tatu hivi nauona kutoka kwako unapambana tu na walokole utafikiri kelele ndo changamoto pekee kwenye nchi yako
Mi nimehisi huyu jamaa ni mchawi sasa maombi ya walokole yanamharibia mitunguli yake!
 
Hata wakati wa kulala watafute mishe sio?
Itakuwa wewe umenunua eneo ukawakuta hapo. Halafu huku Pwani kuna kuvumiliana kwa hizo inshu ni ustaarab wa pwani miaka mingi.
 
Haiwezekani Great Thinker wa JamiiForums GENTAMYCINE ( alias 'East African Brain ) nataka Kulala nasikia tu Mikelele ya....Ooooooo Rabashaka Raboshoka.....Ooooooo mtendeee Bwana Yule na Huyu........Ooooooo Rabota Rushakakaka.........Ooooooo Mfinyange Mfinyange.......Ooooooo zuia Usihgizi Wao wote.....Oooooo toooooka.....toooooka simpo Rabashika.... Hallelujah.

Na kibaya zaidi Kelele hizi zote unazisikia kutoka Kanisa la Kilokole la Mtaani ambako Usiku Kucha unamsikia Mchungaji anaomba kwa Sauti ya Juu na Makelele juu na Kesho yake unapishana nae katika Korido za Gesti na Loji akiwa na Waumini wake wa Kike anaenda Kujipoza kwa Kuwabandua.

Serikali hivi si nilisikia hivi karibuni Waziri au Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani akisema kuwa haya Makanisa ya Kiroho na ya kupenda Kukesha Usiku yaache Kupigia Watu Kelele au Wanunue Kifaa Maalum cha kuzuia Sauti na kuwa Kero Kwetu Wapingaji na Wasapoti Uwekezaji wa DP World Bandarini Tanzania?

Kwakuwa Serikali ( Mamlaka ) hamtaki kulitekeleza hili tayari GENTAMYCINE nimeshamkabidhi Kimemo Mlinzi wa hili Kanisa Dogo la Kilokole nililonalo Jirani ampelekee Mchungaji nikimwambia achague moja apunguze Sauti yake ya Kihubiri yenye Kukera au amalize Ibada Kilazima akalale na awaage Waumini wake au aendelee Kunipigia Kelele zake Dirishani na Waimbaji wake wa Kwaya kisha Hasira zangu Kali za Kizanaki ( Mara ), Kimakuwa ( Mtwara ) na Kitutsi ( Gisenyi nchini Rwanda ) zinipande niwaonyeshe kwanini Nyoka hana Ugoko na kwanini Wimbo wa Taifa ( National Athem ) huwa hauna Kolabo.

Inakera mno tu na haivumiliki kabisa.
Bora inge kuwa serikali ya mwenda zake wange tii huyu mama wateule wake wana mdharau sana nenda kwa mkuu wa wilaya kalalamke uone kama atakusikiliza wakuu wa wilaya wengi wao ni warokole au wakirito waisilamu ndio kabisa wanaogopa kuitwa wadini wa kuwanyamazisha warokole ni wananchi wenyewe sio waziri wa mazingira
 
[mention]GENTAMYCINE [/mention]
mkuu bado kwa hili tena sikuungi mkono.

Kama serikali inataka kudhibiti kelele inatakiwa iweke sheria itakayokuwa na fair ground kwa taasisi zote za kidini na madhehehu yote.

Mbona kanisa la roma linapiga kengele kubwa na kama lile kengele la saa 6 usiku ndo linastua watu.

Ratiba za kengele (niko karibu na kanisa la roma approx. 3-4 kilomitas)
-saa 12 asubuhi
-saa6 mchana
-saa9 alasiri
-saa 12 jioni
-saa 2 usiku
-saa 6 usiku.

Je, Hizo si kelele Genta?

Kwahyo isiwe walokole, RC, (wakristo kiujumla) na waislam wote sheria iwe fair. no noise kwa wote siyo saa 10 nasikia “”swalaa swalaa sijui atakayelala hatooiona pepo sijui kile”


Nshomile
kwasasa kahama,Tanzania
Kengele la Roma linasaidia kujua masaa, linaamsha wanafunzi na wafanyakazi, n.k, na kujua muda,na Adhana inasaidia kujua mda, na watu wamezoea toka Enzi, hizi dini mpya zimekuwa kero kwa watu, kelele kila Mara mziki kwa sauti ya juu, kwao sherehe tu, hakuna mpangilio, alafu kulazimisha watu kwenda kusali kwao.
 
Haiwezekani Great Thinker wa JamiiForums GENTAMYCINE ( alias 'East African Brain ) nataka Kulala nasikia tu Mikelele ya....Ooooooo Rabashaka Raboshoka.....Ooooooo mtendeee Bwana Yule na Huyu........Ooooooo Rabota Rushakakaka.........Ooooooo Mfinyange Mfinyange.......Ooooooo zuia Usihgizi Wao wote.....Oooooo toooooka.....toooooka simpo Rabashika.... Hallelujah.

Na kibaya zaidi Kelele hizi zote unazisikia kutoka Kanisa la Kilokole la Mtaani ambako Usiku Kucha unamsikia Mchungaji anaomba kwa Sauti ya Juu na Makelele juu na Kesho yake unapishana nae katika Korido za Gesti na Loji akiwa na Waumini wake wa Kike anaenda Kujipoza kwa Kuwabandua.

Serikali hivi si nilisikia hivi karibuni Waziri au Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani akisema kuwa haya Makanisa ya Kiroho na ya kupenda Kukesha Usiku yaache Kupigia Watu Kelele au Wanunue Kifaa Maalum cha kuzuia Sauti na kuwa Kero Kwetu Wapingaji na Wasapoti Uwekezaji wa DP World Bandarini Tanzania?

Kwakuwa Serikali ( Mamlaka ) hamtaki kulitekeleza hili tayari GENTAMYCINE nimeshamkabidhi Kimemo Mlinzi wa hili Kanisa Dogo la Kilokole nililonalo Jirani ampelekee Mchungaji nikimwambia achague moja apunguze Sauti yake ya Kihubiri yenye Kukera au amalize Ibada Kilazima akalale na awaage Waumini wake au aendelee Kunipigia Kelele zake Dirishani na Waimbaji wake wa Kwaya kisha Hasira zangu Kali za Kizanaki ( Mara ), Kimakuwa ( Mtwara ) na Kitutsi ( Gisenyi nchini Rwanda ) zinipande niwaonyeshe kwanini Nyoka hana Ugoko na kwanini Wimbo wa Taifa ( National Athem ) huwa hauna Kolabo.

Inakera mno tu na haivumiliki kabisa.
Hii amani iliyopo hii inayokufanya una type bila wasiwasi!

Hao ndugu ndio wanahusika moka KWA MOJA na hio kitu!!

Si unaona kwenu KULE KWA pk KILA siku hati hati ya kupinduliwa hamna amani bali amani ya mtutu KILA saa hiyo no kutokana na kupiga marufuku makanisa ya kiroho eti hadi uwe na PhD!!
 
Haiwezekani Great Thinker wa JamiiForums GENTAMYCINE ( alias 'East African Brain ) nataka Kulala nasikia tu Mikelele ya....Ooooooo Rabashaka Raboshoka.....Ooooooo mtendeee Bwana Yule na Huyu........Ooooooo Rabota Rushakakaka.........Ooooooo Mfinyange Mfinyange.......Ooooooo zuia Usihgizi Wao wote.....Oooooo toooooka.....toooooka simpo Rabashika.... Hallelujah.

Na kibaya zaidi Kelele hizi zote unazisikia kutoka Kanisa la Kilokole la Mtaani ambako Usiku Kucha unamsikia Mchungaji anaomba kwa Sauti ya Juu na Makelele juu na Kesho yake unapishana nae katika Korido za Gesti na Loji akiwa na Waumini wake wa Kike anaenda Kujipoza kwa Kuwabandua.

Serikali hivi si nilisikia hivi karibuni Waziri au Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani akisema kuwa haya Makanisa ya Kiroho na ya kupenda Kukesha Usiku yaache Kupigia Watu Kelele au Wanunue Kifaa Maalum cha kuzuia Sauti na kuwa Kero Kwetu Wapingaji na Wasapoti Uwekezaji wa DP World Bandarini Tanzania?

Kwakuwa Serikali ( Mamlaka ) hamtaki kulitekeleza hili tayari GENTAMYCINE nimeshamkabidhi Kimemo Mlinzi wa hili Kanisa Dogo la Kilokole nililonalo Jirani ampelekee Mchungaji nikimwambia achague moja apunguze Sauti yake ya Kihubiri yenye Kukera au amalize Ibada Kilazima akalale na awaage Waumini wake au aendelee Kunipigia Kelele zake Dirishani na Waimbaji wake wa Kwaya kisha Hasira zangu Kali za Kizanaki ( Mara ), Kimakuwa ( Mtwara ) na Kitutsi ( Gisenyi nchini Rwanda ) zinipande niwaonyeshe kwanini Nyoka hana Ugoko na kwanini Wimbo wa Taifa ( National Athem ) huwa hauna Kolabo.

Inakera mno tu na haivumiliki kabisa.
Hapo inatakiwa ushukuru upako kuamia jiran na wewe, nguvu zote za kishetani zitashindwa mtaa huo, jitahidi ukatoe sadaka ya shukran mkuu
 
Back
Top Bottom