Don Billionea
Senior Member
- Jul 15, 2018
- 152
- 204
Serikali mmeweka kipaumbele sana kwa wananchi kupata kadi ya mpiga kura kuliko kadi ya uraia.
Mtaani kwetu vibanda vya kujiandikisha vipo ad leo na hakuna watu, watu wanasubiriwa adi wanatangaziwa mitaani mkajiandikishe, ila lilipokuja suala la NIDA walifanya chapchap wanafika saanne asubuh saanane mbio, yan ilikuwa kama shughuli ya magendo ad watu zaid ya asilimia 60 hatukupata NIDA kabisa.
Tulikuwa tunadamka saa9 usiku tunapanga mstari watu wengi kinoma tunaenda na mashuka yetu alaf wao wanafika saanne na bado hatukufanikisha waliishia kutupa namba tu tena baada ya miaka miwili
KURA IMEKUWA KIPAUMBELE SANA KWA SERIKALI
Mtaani kwetu vibanda vya kujiandikisha vipo ad leo na hakuna watu, watu wanasubiriwa adi wanatangaziwa mitaani mkajiandikishe, ila lilipokuja suala la NIDA walifanya chapchap wanafika saanne asubuh saanane mbio, yan ilikuwa kama shughuli ya magendo ad watu zaid ya asilimia 60 hatukupata NIDA kabisa.
Tulikuwa tunadamka saa9 usiku tunapanga mstari watu wengi kinoma tunaenda na mashuka yetu alaf wao wanafika saanne na bado hatukufanikisha waliishia kutupa namba tu tena baada ya miaka miwili
KURA IMEKUWA KIPAUMBELE SANA KWA SERIKALI