Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
. NaamUmegusia jambo muhimu sana.
Kongole mkuu.
Serikali ikusikilize.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
. NaamUmegusia jambo muhimu sana.
Kongole mkuu.
Serikali ikusikilize.
Hiyo namba 7 kuna ubinafsi mkubwa unafanyika na serikali wala haiweki nguvu kwenye hilo
Ova
Chawa hao..Kama hawashinikizwi sioni tatizo MKUU.
Mtu kutumia hiyari yake kufanya Jambo lisilovunja Sheria sio tatizo
Chawa hao..
Subiri the end will justify
Sidhani kama wasio na ajira ama wahitimu walio mitaani wote ni waalimu ijapo NETO ni kundi LA waalimu.Ualimu ni KADA iliyodharauriwa tangia Awamu ya kwanza
Shida ilianzia pale waliofeli Ndio walipelekea Ualimu