Serikali mnaibiwa kwa watu hawa wakishirikiana na maafisa Utumishi( wale waliodanganya wako masomoni na wale wa likizo bila malipo)

Serikali mnaibiwa kwa watu hawa wakishirikiana na maafisa Utumishi( wale waliodanganya wako masomoni na wale wa likizo bila malipo)

Mbuzi mee

Senior Member
Joined
Dec 29, 2022
Posts
156
Reaction score
217
Sasa hivi kuna mchezo unachezwa na wahusika na maafisa utumishi...wahusika wanawapitia gawio maafisa utumishi au mpaka wakuu wa vituo vyao vya kazi...na wao kupotelea kwenye inshu zingine za kibinafsi...Hivyo kupelekea kupokea mishahara wasiyo stahili.....fanyeni uchunguzi wa haraka kuanzia ngazi za huko juu Utumishi mkuu hao pia ndio chanzo cha hizi dili...Msipoangalia mtazalisha tena watumishi Hewa
 
Wa likizo bila malipo ipo kisheria mana hapokei mshahara. Tatizo ni huyo wa masomoni halafu hasomi huku akipokea mshahara.

Yote kwa yote, sijajua nchini Tanzania ni watumishi gani wanaoridhika na mishahara yao bila kuiba!
Likizo bila malipo ila wanamalipo( yaan kituoni inaonekanika yuko likizo bila malipo ila anapokea mshahara kama kawaida inachezeshwa utumishi)
 
Sasa hivi kuna mchezo unachezwa na wahusika na maafisa utumishi...wahusika wanawapitia gawio maafisa utumishi au mpaka wakuu wa vituo vyao vya kazi...na wao kupotelea kwenye inshu zingine za kibinafsi...Hivyo kupelekea kupokea mishahara wasiyo stahili.....fanyeni uchunguzi wa haraka kuanzia ngazi za huko juu Utumishi mkuu hao pia ndio chanzo cha hizi dili...Msipoangalia mtazalisha tena watumishi Hewa

Kajipange halafu uje tena na hoja yako. Inaonekana ina mashiko.
 
Back
Top Bottom