Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Siyo mzeeeee!!!Jamani tulitaka demokrasia ama nakosea,tulitaka raisi anayetoka nje Ilo diplomasia iwe vizuri na kweli saivi iko vizuri Mana wamasai wanatoka ngorongoro waarabu wanaingia kuwekeza,tulitaka raisi asiyechukia matajiri saivi nadhani tozo ziko poa ama mnasemaje hapa mbele akina mama na huko nyuma akina baba so Kura zenu mtatupa Tena!!!!!😂😂