Serikali mpo wapi watu wa Ubungo Kibangu wiki ya 3 hatuna maji hata tone, DAWASA wametutelekeza

Serikali mpo wapi watu wa Ubungo Kibangu wiki ya 3 hatuna maji hata tone, DAWASA wametutelekeza

Jamani tulitaka demokrasia ama nakosea,tulitaka raisi anayetoka nje Ilo diplomasia iwe vizuri na kweli saivi iko vizuri Mana wamasai wanatoka ngorongoro waarabu wanaingia kuwekeza,tulitaka raisi asiyechukia matajiri saivi nadhani tozo ziko poa ama mnasemaje hapa mbele akina mama na huko nyuma akina baba so Kura zenu mtatupa Tena!!!!!😂😂
Siyo mzeeeee!!!
 
tupo china, tunakunywa maji ya kung fu, Kazi na bata. Si ndo maisha tuliochagua ?Yan nisile bata niangaikie familia na mwili wako, pambana na hali yako
 
Huduma kwa wateja ukiwapigia wanajibu majibu mepesi mpaka unatamani kuwatukana
Mlitaka demokrasia na kutawaliwa na wamjini aka borntown. Sie wachunga ng'ombe huwa Ni kuchapa kazi tu nakulamba matak00 watu hatujui.
Sie Ni bornvillage Ila cheki na borntown muwe mnaona Ni wapi wawe wanaongoza.
Anzia na nyerere Ni bornvillage na akachunga ,cheki Moringe sokoine.
Sema madelu amekuwa limbukeni.nipeni Kura nimechunga ng'ombe na nimezaliwa bush Hawa rushwa Ni risasi hadharani hakuna huruma. Kama huridhiki na mshahara kaa nyumbani, wakati unaiona milioni ndogo Kuna mtu Ana elimu kubwa kuliko wewe anatamani aipate hata ya laki tano Ila inakosa. Ofisi ya serikali isiwe vijiwe vya kupigia stori,watumishi Ni watumwa wa wananchi na sio mabwana wa wananchi.
Miktaba ambayo haina maslahi kwa Taifa letu inatenguliwa. Yaani wanatafutiwa kosa kidogo tunafumua upya mktaba.nikiingia kwanza huu wa tanesco wa 69bilioni nauvunja fasta.
Mabwawa yatajaa maji,na umeme kukatika itakuwa Ni history na sio kutumia kigezo Cha USA umeme kukatika Kama kuharilisha kukatika kwa umeme kwetu. Kila mtu atalipa Kodi hakuna kukumbatia wakwepa Kodi. Yaani lipa Kodi kwa mujibu wa Sheria na sio kuonea mtu.kila kitu kitakuwa wazi,miktaba yenye maslahi mapana na Taifa itawekwa mubashara kupigiwa Kura na kutolewa maoni ya watanzania Mana nchi Ni yenu.
Kila shilingi inayopatikana na itakavyotumika itakuwa wazi
 
situlikubalina kwamba kubenea aliwachelewesha sana na kwanza hajasoma mkaletewa le profeseli, kuleni jeuri yenu na bado mwaka huu msipohamia burundi hamchomoki nyambafff
 
Wenzangu na mm huu ndo muda wa kuangalia maeneo ya kuishi,kibangu nshaikata. Bora kimara barut yangu.
 
Maeneo ya Kibangu Juu huku mitaa ya kwa Mdee, kwa mgogo, novo, gide yote haina maji ni wiki mbili rasmi tumefikisha leo bila maji.

Bora maeneo mengine yanapatikana hata kwa mgao, sisi hatuoni hata ya mgao wala nini na huku hata mbadala wa visima hamna yaani ni kilio.

Dawasa mnajua kututesa sasa kesho tunaianza wiki ya 3 bila maji hata ya kidogo jamani ni haki hiyo?

Serikali mpo wapi? Hivi kweli mnajua kuwa wananchi wa kibangu hawana maji katika maeneo hayo nilotaja?
Tulieni kidogo utatuzi unafanyiwa kazi,lakini pia shida ni mwalimu
Siku nyingine hamtakosa maji
 
Mlitaka rais mwenye huruma anayejua kubembeleza yule aliyeenda zake aliwakosesha furaha alikuwa katili sana. pambaneni aisee
 
Mlitaka rais mwenye huruma anayejua kubembeleza yule aliyeenda zake aliwakosesha furaha alikuwa katili sana.
Yaani bana majuzi hapa shaka akatoka kumpongeza kwa kusafiri mno nje yaani ameshasafiri nchi Kama 25 hivi. Mana tulilalamika kuwa yule hajui English ivyo anaogopa kusafiri.raisi wa uchina na urusi sawa hata wakisafiri wanaongea lugha zao translator wapo.
Ila bana blacks anajiona Kama amesoma kwa kuongea lugha za wanaume wenzake.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣dar raha sana,sasa simtakiwa mnanuka??
 
Back
Top Bottom