Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mimi nachukia rushwa sana, na suala la rushwa kwa trafiki polisi nimelikemea sana humu JF na kwenye mitandao mingine.
Ila nachukia zaidi mtindo wa viongozi kujifanya watendaji bora na wasafi pindi inapoibuka video.
Pia soma Trafiki wawili wakamatwa baada ya kunaswa kwenye video wakipokea Rushwa hadharani
Hii imekuwa common sasa. Uozo kila sehemu, mahospitalini, kwenye sekta ya elimu, maji, umeme n.k
Hakuna kiongozi anayejali.
Hakuna uwajibikaji ila ikitokea kavideo tu viongozi lazima waitishe press na kuwafedhehesha wahusika.
Matrafiki kula rushwa imekuwa rasmi sasa, serikali imeshindwa kuwadhibiti, kwanini hawa wawili waonewe?
Serikali ingekuwa na nia ya dhati rushwa barabarani zingeisha miaka 10 iliyopita.
Sasa kila daladala asubuhi lazima itenge sh. 10-15 elfu ya rushwa barabarani.
Hatuyaki unafiki, acheni mihemko kwa kuhangahika na mambo ya kwenye video za mtandaoni.
Je, kama vimetengenezwa?
Kama kuna wahusika humu kateni rufaa, uchukuaji wa picha una Sheria na kanuni zake. Kama nchi hatuwezi kuenenda kwa video za mtandaoni. Ushetani kabisa.
Ila nachukia zaidi mtindo wa viongozi kujifanya watendaji bora na wasafi pindi inapoibuka video.
Pia soma Trafiki wawili wakamatwa baada ya kunaswa kwenye video wakipokea Rushwa hadharani
Hii imekuwa common sasa. Uozo kila sehemu, mahospitalini, kwenye sekta ya elimu, maji, umeme n.k
Hakuna kiongozi anayejali.
Hakuna uwajibikaji ila ikitokea kavideo tu viongozi lazima waitishe press na kuwafedhehesha wahusika.
Matrafiki kula rushwa imekuwa rasmi sasa, serikali imeshindwa kuwadhibiti, kwanini hawa wawili waonewe?
Serikali ingekuwa na nia ya dhati rushwa barabarani zingeisha miaka 10 iliyopita.
Sasa kila daladala asubuhi lazima itenge sh. 10-15 elfu ya rushwa barabarani.
Hatuyaki unafiki, acheni mihemko kwa kuhangahika na mambo ya kwenye video za mtandaoni.
Je, kama vimetengenezwa?
Kama kuna wahusika humu kateni rufaa, uchukuaji wa picha una Sheria na kanuni zake. Kama nchi hatuwezi kuenenda kwa video za mtandaoni. Ushetani kabisa.