DOKEZO Serikali mulikeni kiwanda cha pombe cha Kingdom kilichopo Kalobe Mbeya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nimelikumbuka sakata la kiwanda cha aina hiihii kiitwacho Shujaa cha Shinyanga kilivyowatoa ngeu Meneja wa TRA Mkoa na RPC wa mkoa ule kwa kashfa ya aina hiihii.
Walikuwa wanapokea hongo?.
 
Nimelikumbuka sakata la kiwanda cha aina hiihii kiitwacho Shujaa cha Shinyanga kilivyowatoa ngeu Meneja wa TRA Mkoa na RPC wa mkoa ule kwa kashfa ya aina h

Nimelikumbuka sakata la kiwanda cha aina hiihii kiitwacho Shujaa cha Shinyanga kilivyowatoa ngeu Meneja wa TRA Mkoa na RPC wa mkoa ule kwa kashfa ya aina hiihii.
Story zinalingana kabisa
 
TRA wametosheka, wanakusanya zaidi ya malengo.
 
Tatizo TRA wanapambana na dagaa tu, mapapa wnawaacha
 
Pombe ikitengenezwa katika mazingira machafu ndo inakuwa Bien glass 1 tu chaliiii cha mende
 
Acha roho mbaya kama unataka kulipa tra si uchukue mshahara wako upeleke nyewe? Hua sipendi kulipa afu wanaiba wengine bora wote tuibe
Hii inafikirisha kama uko kwenye ajira au hata umewahi ajiriwa! PAYEE akatwe mtu kwenye mshahara afu haiendi inapotakikana bado unaandika hayo? Mtu akisema mazingira mabovu ya kazi anamaanisha hata usalama na afya ya wafanyakazi havipo yaani OHS hakuna kiujumla ni hatari mfanyakazi kuumia, kudhurika na hata kupoteza maisha ktk mazingira ya kazi iwapo kiwanda hakina vitendea kazi muhimu. Afya ya mtu ni muhimu kiubinadamu afu equipments zinafuata na mazingira ya kazi
 
Ukweli 100%
 
Kama nlivyomwelewa mtoa mada pesa yao wafanyakazi inakatwa kwenye mshahara ila haiendi panapohusika, mfano mtu ana mshahara wa milioni moja na nusu ila zinakatwa zile zoote zinazotakiwa kukatwa hadi NSSF ambayo ni akiba ya mwajiriwa iingie kwenye account ila haziendi, unakuta mtu ana basic hiyo ila zinakatwa wee anapokea 1,200,000 na zinakatwa lakini hazimfaidishi mwajiriwa unataka asihoji? Labda kama kiwanda hajakisajili kama company iwe kimesajiliwa tu kama biashara ya kawaida kama duka la mangi
 
Unaonekana umewahi fanya kazi viwandani au bado unafanya kazi
 
Unaonekana umewahi fanya kazi viwandani au bado unafanya kazi
Mtu yeyote aliyepita kwenye hekaheka za ajira hizi za private companies ni lazima atajua stahiki zake, bila hivo kuna watoa comment humu wanatoa tu kwa mhemko hawajajua mtoa mada anasema nini mtu anakurupuka tu yaani tuseme hajui chochote hata tukiacha suala la unyonyaji wa maslahi suala la usalama mahali pa kazi ni la msingi kuliko vyote sema hizi companies za wabongo na wachina na makaburu wasauzi hawajaligi kabisa mambo ya AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI
 
Very true wanajali maslai Yao zaidi hata serikali kufuatila haya ni shida
 
Mungu akipenda nitaanzisha changu πŸ’― alcohol hili umalize chupa ya Mil 300 inatakiwa uwe umeacha na urithi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…