Au ndio ule harmonize anamwambia nandy..Unasikiliza Bongo Fleva siku hizi..., au ni mgeni kwenye hii tasnia ?, Kasikilize Nandy Ft Harmonize alafu rudi ulete maelezo...
Kwa ushauri hawa watu watengeneze version tofauti..., radio / tv version, (kwa family audience) na explicit version kwa wateja wao wengine
" baby mwaga maji nimwage mboleaa.."?!!