Serikali na BASATA upigeni marufuku upesi wimbo mpya wa Msaga Sumu kwani una Matusi matupu na si wa kimaadili pia

Au ndio ule harmonize anamwambia nandy..
" baby mwaga maji nimwage mboleaa.."?!!
 
Ehe nini tena mambo ya Chadema ,wakati hoja ni nyimbo ya Msaga sumu???mbona kuna shoga moja uwa twaliona mitandaoni limevaa nguo za Ccm,mbona kuna picha flan hivi za wadada wa vigodolo wamejibinua mpaka undernyolo zao zinaonekana kwa makusudi kabisa sio bahati mbaya hamuziongelei!! Waswahili hawakukosea kunya anye kuku akinya bata ,,,,,,,,,,,!!
 
Ulisoma hadi darasa la ngapi?
 
Au ndio ule harmonize anamwambia nandy..
" baby mwaga maji nimwage mboleaa.."?!!
naam..., ni full mambo ya ajabu nadhani kuna siku ulipigwa mbele ya mkuu wa nchi..., sikufuatilia huenda labda kwenye hayo maneno walibadilisha...

Vijana wa sasa wana kipaji sana sijui kwanini wanaweka maneno ya kutenga baadhi ya wasikilizaji...
 
naam..., ni full mambo ya ajabu nadhani kuna siku ulipigwa mbele ya mkuu wa nchi..., sikufuatilia huenda labda kwenye hayo maneno walibadilisha...

Vijana wa sasa wana kipaji sana sijui kwanini wanaweka maneno ya kutenga baadhi ya wasikilizaji...
Wimbo wa hovyo sana huo ,, sitara hakuna kabisa mkuu
 
Kwa miaka hii ya karibuni kila nyimbo ina matusi(kwa tafsida) angalau wasanii wanaorap wana afadhali....

Hawa basata sijui wanaregulate nn....

Lakini navyoona tatizo linaanzia kwenye kuibrand nchi.... watu/kitengo cha kubrand nchi either kimelala au hakipo kabisa ndo maana nchi imekua ya watu wenye fikra za kinafki, kimatusi/ngono nk...

Lazma hawa watu/kitengo kiweke mikakati ya kuelekeza nchi iwe na watu wa namna bora na muonekano wa kuvutia ktk nyanja zote (tamaduni nk)
 
Mtatoana roho bure. Huo wimbo haufungiwi. Mark my words!
 
Wasanii wenyewe bangi tupu mnategemea watunge nini?
 
Wana CCM hao! Dela jipya chupi la zamani. Still trending... Uchafu mtupu
 
Maadili kwasasa ni bidhaa adimu sana usitarajie kuikuta kwa watu dhaifu kiakili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…