SERIKALI NA BODI HAWAFAI, angalia:

SERIKALI NA BODI HAWAFAI, angalia:

Umenena ukweli kijana ingekuwa terminal ningekupa 95%
Wanaumiza wenye majeraha kiukweli sijapenda kilichotokea.
 
Kwahiyo ndugu ktk chapisho lote wewe umeona uzungumzie makosa yake ya kiuandishi?
Jamani tuache michezo ktk mambo ya msingi.
Hapo chini umeandika unawakilisha.Swali ni je unamwakilisha nani? Au pengine ulitaka kusema unawasilisha?
Halafu hakuna neno 'haijarishi' ni haijalishi.
Nasikitika uandishi wa kiswahili ni tunu adhimu inayopotea.
 
Hivi kwani mkopo ni guaranteed kwamba ukikosa ulalamike?bodi imepokea ma wao,sasa ulitaka ikupe wewe imnyime nani?tukubali matokeo,aliepata kapata,na aliekosa kakosa,maisha yanasonga,kulalamika ni kupoteza muda
think with reasoning
 
Nimesoma Taqwa div 1 pt 16. Nimemaliza DIT 2012 OD ETE. Nimepata MUST EEE. Inaelekea we mwl?
mimi siyo mwl, niko kula kulala, ninyi wa Nacte subirini watatoa hivyo punguza presha,
 
Back
Top Bottom