Serikali na CCM walivyo na sikio la kufa lisilosikia dawa, tayari wanataka kuanzisha vita nyingine kubwa na hatari zaidi na Kanisa la Mungu

Serikali na CCM walivyo na sikio la kufa lisilosikia dawa, tayari wanataka kuanzisha vita nyingine kubwa na hatari zaidi na Kanisa la Mungu

Yaaan Ujinga hauwezi kuisha duniani,
Ujinga utaishaje maana wajinga wa kujitakia kama wewe lazima wawepo tu..?
Hivi hiyo mikataba mingine iliyoingia SEREKALI NA TEC wewe unaijua au unaropoka ropoka tu,
Umetokea wapi wewe na kuanza kunilisha maneno nisiyoyasema?

Pls, mimi sijadili mikataba ya serikali na TEC..
Hawa TEC unakumbuka waliganya nn kwenye vita ya RWANDA,
Fafanua ueleweke. Eleza Kwa ushahidi walifanya Nini...
Alafu unaongea pumba zako hapa za habari ya wawakilishi wa mungu,Kwanza nani kakwambia mungu ana wawakilishi??
Kwa kuwa u mjinga, huwezi kujua haya mambo kwa sababu ufahamu na uelewa wako ni zero...!!

Ukiwa tayari kupata ufahamu na maarifa haya, acha ujuha na ulimbukeni wa kidini, njoo tujadiliane
 
Ni hatari sana..

Kuna kila dalili kuwa, baada ya tamko la Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (TEC), vita ya skandali la bandari inakwenda kuchukua sura nyingine kati ya kikundi kilichomo ndani ya serikali kilichotengeneza uchafu huu na Kanisa la Mungu.

Na bila shaka TEC imetangulia tu na muda si mrefu The Christian Council of Tanzania (CCT) na The Council of Pentecostal Churches of Tanzania (CPCT) nao wanakuja na matamko yao na misimamo yao na tunafikiri yatakuwa ni matamko ya namna gani?

Obvious ni kuukataa mkataba huu kwani kwa sababu ziwazo zote, hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu na hajahongwa anaweza kukubaliana na ujinga na uchafu huu unaoitwa IGA kati ya Dubai Emirate na Tanzania.

Kama Rais Samia Suluhu Hassan akishindwa kutumia fursa hii kwa serikali yake kurudi kwenye drawing board ili kufikiria namna sahihi, ya wazi na shirikishi kwa umma ya ubia (partnership) ya uboreshaji wa bandari zetu badala ya njia hii ya mkataba huu mbovu na Dubai kupitia kampuni yao ya DP World, basi awe tayari kuanza kuitumikia hukumu yake yeye na watu wake wote walio nyuma ya scandal hii.

Ni hukumu yake kwa sababu dalili zinaonesha kuwa hiki kikundi baada ya mara ya kwanza kufanikiwa kumshawishi Rais na kwa baraka zake mwenyewe akajiruhusu kujiingiza kwenye shida na aibu hii, basi mission ya kundi hili haijakamilika na linakwenda tena kwake (Rais Samia) na anaweza kutoa baraka zake tena ili kuanzisha vita na kanisa la Mungu wakidhania watafanikisha malengo yao maovu..

Hili likitokea, basi itakuwa ni heri ya wapiganiao haki maana hakuna mamlaka ya serikali yoyote ya kidunia imewahi kushindana na Kanisa la Mungu na mamlaka hiyo ikasimama na kushinda. Tunayo mifano mingi ktk historia ya Biblia kama vile Babeli ya kale, dola la Rumi ya kale, Misri ya Farao nk.

Rais Samia Suluhu Hassan, za kuambiwa changanya na za kwako mama. Wewe ni mwanamke, usiingie ktk historia ya wanawake viongozi wa hovyo waliowahi kuongoza nchi zao na kutoka kwa aibu.
Lakini walikaa kimya wakati Mashehe wanatukana watu wanaoheshimika kutokana misimamo yao juu ya mkataba wa DPW.
 
Lakini walikaa kimya wakati Mashehe wanatukana watu wanaoheshimika kutokana misimamo yao juu ya mkataba wa DPW.
Kama ulisema wewe kwenye hilo, inatosha. Wao wamesema kwenye hili. Wamekosea kwani?
 
Ni hatari sana..

Kuna kila dalili kuwa, baada ya tamko la Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (TEC), vita ya skandali la bandari inakwenda kuchukua sura nyingine kati ya kikundi kilichomo ndani ya serikali kilichotengeneza uchafu huu na Kanisa la Mungu.

Na bila shaka TEC imetangulia tu na muda si mrefu The Christian Council of Tanzania (CCT) na The Council of Pentecostal Churches of Tanzania (CPCT) nao wanakuja na matamko yao na misimamo yao na tunafikiri yatakuwa ni matamko ya namna gani?

Obvious ni kuukataa mkataba huu kwani kwa sababu ziwazo zote, hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu na hajahongwa anaweza kukubaliana na ujinga na uchafu huu unaoitwa IGA kati ya Dubai Emirate na Tanzania.

Kama Rais Samia Suluhu Hassan akishindwa kutumia fursa hii kwa serikali yake kurudi kwenye drawing board ili kufikiria namna sahihi, ya wazi na shirikishi kwa umma ya ubia (partnership) ya uboreshaji wa bandari zetu badala ya njia hii ya mkataba huu mbovu na Dubai kupitia kampuni yao ya DP World, basi awe tayari kuanza kuitumikia hukumu yake yeye na watu wake wote walio nyuma ya scandal hii.

Ni hukumu yake kwa sababu dalili zinaonesha kuwa hiki kikundi baada ya mara ya kwanza kufanikiwa kumshawishi Rais na kwa baraka zake mwenyewe akajiruhusu kujiingiza kwenye shida na aibu hii, basi mission ya kundi hili haijakamilika na linakwenda tena kwake (Rais Samia) na anaweza kutoa baraka zake tena ili kuanzisha vita na kanisa la Mungu wakidhania watafanikisha malengo yao maovu..

Hili likitokea, basi itakuwa ni heri ya wapiganiao haki maana hakuna mamlaka ya serikali yoyote ya kidunia imewahi kushindana na Kanisa la Mungu na mamlaka hiyo ikasimama na kushinda. Tunayo mifano mingi ktk historia ya Biblia kama vile Babeli ya kale, dola la Rumi ya kale, Misri ya Farao nk.

Rais Samia Suluhu Hassan, za kuambiwa changanya na za kwako mama. Wewe ni mwanamke, usiingie ktk historia ya wanawake viongozi wa hovyo waliowahi kuongoza nchi zao na kutoka kwa aibu.
Kwa kuwa mama yupo upande wa GIZA na wananchi wapo upande wa NURU, nina imani giza haliwezi kuushinda mwanga.
 
Kwani kusitisha kuendelea na huo mkataba anaona shida gani? Kama sababu ya kushupaza shingo ni kutaka kuleta maendeleo kama anavyosema, wenye nchi yao (wananchi), tumekataa. Yeye anaumia nini sisi tukikataa hayo maendeleo yatayoletwa na DPW, kwa mkataba huu? Wengi tupewe. Mkataba haufai.
 
Nenda China uone kama kuna huo upuuzi wa makanisa
CCM bila aibu wanaleta mkataba wa Kimangungo, Ibara 4 (2) eti Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini ndio basi, Yaani nchi huru ikaombe ridhaa Dubai, Tena kwa Mali zake? Huu ujinga ubaki CCM.
 
CCM bila aibu wanaleta mkataba wa Kimangungo, Ibara 4 (2) eti Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini ndio basi, Yaani nchi huru ikaombe ridhaa Dubai, Tena kwa Mali zake? Huu ujinga ubaki CCM.
Weka icho kifungu hapa
 
Kwani kusitisha kuendelea na huo mkataba anaona shida gani? Kama sababu ya kushupaza shingo ni kutaka kuleta maendeleo kama anavyosema, wenye nchi yao (wananchi), tumekataa. Yeye anaumia nini sisi tukikataa hayo maendeleo yatayoletwa na DPW, kwa mkataba huu? Wengi tupewe. Mkataba haufai.
Mama anashindwa kutekeleza maoni ya wananchi kwa sababu amekula pesa ya waarabu wa DPW na waarabu wametaifisha ndege yake. Inabidi kwanza tutatue tatizo la ndege kabla ya kuja kwenye hili la DPW.
 
Back
Top Bottom