shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,487
- 2,394
Mheshiwa waziri na serikali yako, staki kuongea mengi bali nikustue tu kuwa dengue imeua, inaua na inaendelea kuua, hivi mnataka tufe sote ndo mchukue hatua?
Bado uko ofisini na wala hutaki kujua kuhusu dengue?Mumeo Paskali hakuambii ukweli wa huku mtaani kuhusu dengue, tafadhali chukua hatua maana JPM akituita Ikulu mbele ya makamera tutasema na atakutumbua na tutashangilia kupita mazuzu.
Dengue imeua wengi
Bado uko ofisini na wala hutaki kujua kuhusu dengue?Mumeo Paskali hakuambii ukweli wa huku mtaani kuhusu dengue, tafadhali chukua hatua maana JPM akituita Ikulu mbele ya makamera tutasema na atakutumbua na tutashangilia kupita mazuzu.
Dengue imeua wengi