Ndg zangu mtakumbuka wizara ya fedha kwenye bajeti ya mwaka jana walisema wanafuta kodi kwa wenye mitaji chini ya milion4 na wenye bodaboda, lkn imekuwa kinyume huku sumbawanga tra wamewafungia wajasilia mali wengine mitaji yao haifiki hata mil3 sasa walikuwa wanataka waonekane ccm wana huruma sana kwa wananch kumbe wanajivisha ngozi ya kondoo ndani ni simba.
Huku ukionekana na bodaboda hujailipia wanakukamata mpaka ulipe ndipo wanakupa pikipiki.
Sasa kwa anayeguswa unadhani nini kifanyike.?
Huku ukionekana na bodaboda hujailipia wanakukamata mpaka ulipe ndipo wanakupa pikipiki.
Sasa kwa anayeguswa unadhani nini kifanyike.?