#COVID19 Serikali na siasa za Corona, yanayosemwa sio yanayofanyika

Ccm hawaeleweki, vyama vya upnzani vikitaka kufanya mikutano hata ya ndani tu vinazuiwa eti korona,sasa hii korona ipo upande wa upinzani tu?
 
Corona haitaki kukaa Tanzania wanalazimisha,mwishowe inaanza kuwaaibisha tu.
Imenuna haitaki kuchukua mtu.
 
Mkuu vipi tena? lengo si lilikuwa kuungana tu na 'wenzetu' na kuitangazia dunia tu kwamba na sisi tunae uviko ili twende sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Viongozi wenyewe wanavaa barakoa kama wakiwa wanakutana na viongozi wa kimataifa sasa. Itakuaje sisi wananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…