Serikali na TRA wekeni utaratibu wa kupata Kodi ya bodaboda

Serikali na TRA wekeni utaratibu wa kupata Kodi ya bodaboda

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Bodaboda ni sekta rasmi Kwa Sasa.
Ni dharau kubwa Kwa bodaboda ambao kwasasa wapo zaidi ya watu million 10 hawa watu wote kila mtu akilipa elfu 10 Kwa mwaka ni pesa ndefu

Kulipa Kodi ni jukumu la kila anayeingiza kipato

Kama serikali inatoza Kodi mlinzi wa SUMA JKT, mwalimu, police, nurse n. K sio haki kumpotezea bodaboda anayeingiza zaidi ya elfu 30,000 Kwa siku

Hawa bodaboda wamekuwa ni waharibufu wa miundo yetu ya barabarani kwakuwa hawana uchungu nayo maana hawashiriki kuijenga Kwakuwa hawapi kodi

Hawa bodaboda walevi na fujo zao hawashindwi kulipa Elfu 10 Kwa mwaka ilihali kila siku wanalewa pombe, bangi,na ugolo

Mh Mwigulu ingia ofsini na wataalam wako wa Kodi mpate kuvuna pesa kutoka Kwa hawa bodaboda

Pesa ikipatikana irudi kwenye maendeleo watu tuyaone, siyo mkanunue timu za mipira na kuhonga wapinzani
 
Bodaboda ni sekta rasmi Kwa Sasa.
Ni dharau kubwa Kwa bodaboda ambao kwasasa waponzaidi ya watu million 10 hawa watu wote kila mtu akilipa elfu 10 Kwa mwaka ni pesa ndefu

Kulipa Kodi ni jukumu la kila anayeingiza kipato

Kama serikali inatoza Kodi mlinzi wa SUMA JKT, mwalimu, police, nurse n. K sio haki kumpotezea bodaboda anayeingiza zaidi ya elfu 30,000 Kwa siku

Hawa bodaboda wamekuwa ni waharibufu wa miundo yetu ya barabarani kwakuwa hawana uchungu nayo maana hawashiriki kuijenga Kwakuwa hawapi kodi

Hawa bodaboda walevi na fujo zao hawashindwi kulipa Elfu 10 Kwa mwaka ilihali kila siku wanalewa pombe, bangi,na ugolo

Mh Mwigulu ingia ofsini na wataalam wako wa Kodi mpate kuvuna pesa kutoka Kwa hawa bodaboda

Pesa ikipatikana irudi kwenye maendeleo watu tuyaone, siyo mkanunue timu za mipira na kuhonga wapinzani
Umeongea point sana. Umeongea kile wafanyabiashara tunachowaambia kila mara TRA. Watanue wigo wa Kodi sio kama hivi kila mara ni kugombana na mtu ksbb tu ana duka,basi kila wakati anaongezewa Kodi huyu mwenye duka tu.
Hata Magu aliwahi kuwahoji TRA mmeaminiwa kukusanya kodi,lakini mnashindwaje kuongeza vyanzo vipya vya Kodi?.

Sasa kama huyu bodaboda,wanatengeneza hela nzuri sana wanashindwaje kuingizwa kwenye kulipa Kodi miaka yote hii?. Tena kama ulivyoongea bodaboda ni waharibifu wakubwa wa miundombinu ya barabara kuliko hata mwenye kiduka.

Sijui nani TRA aliwadanganya kwamba ukifungua duka tu tayari umekosea,TRA wana wewe tu? Wanapelekeshwa watu mpaka wanafunga biashara.
Isiwe elfu 10. Waanzie na elfu 50 kwa mwaka. Kwa kipato chao elfu 50 kwa mwaka ni bure kabisa. Waanze nao kwa elfu 50 kwa mwaka.
 
Umeongea point sana. Umeongea kile wafanyabiashara tunachowaambia kila mara TRA. Watanue wigo wa Kodi sio kama hivi kila mara ni kugombana na mtu ksbb tu ana duka,basi kila wakati anaongezewa Kodi huyu mwenye duka tu.
Hata Magu aliwahi kuwahoji TRA mmeaminiwa kukusanya kodi,lakini mnashindwaje kuongeza vyanzo vipya vya Kodi?.

Sasa kama huyu bodaboda,wanatengeneza hela nzuri sana wanashindwaje kuingizwa kwenye kulipa Kodi miaka yote hii?. Tena kama ulivyoongea bodaboda ni waharibifu wakubwa wa miundombinu ya barabara kuliko hata mwenye kiduka.

Sijui nani TRA aliwadanganya kwamba ukifungua duka tu tayari umekosea,TRA wana wewe tu? Wanapelekeshwa watu mpaka wanafunga biashara.
Isiwe elfu 10. Waanzie na elfu 50 kwa mwaka. Kwa kipato chao elfu 50 kwa mwaka ni bure kabisa. Waanze nao kwa elfu 50 kwa mwaka.
Tatizo wanasiasa hawataki kuwaudhi kundi kubwa la wapiga kura
Ila wakilipa Kodi inaweza kuwasaidia ku regulate hata bei ya petrol
 
Na wenye Bajaj mmewasahau hata hqi pia wanaingiza kipato,boda wakilipa na Bajaj pia walipe vile vile wenye salon za like na kiume pia walipe,bado Kuna Hawa wenye vibanda vya tigo pesa nap walipe Kodi.
 
Hii mie nashauri wapewe kitu Kama leseni so wawe wanazilipia wanatambulika na Kila boda awe na namba iandikwe kwa boda yake, hii leseni akilipia 25-50k kwa mwaka sio mbaya. Yaani awe na leseni na atambulike ili hata Kama kambeba mtu hawafahamiani mtu anaweza akachukua namba yake
 
Bodaboda ni sekta rasmi Kwa Sasa.
Ni dharau kubwa Kwa bodaboda ambao kwasasa wapo zaidi ya watu million 10 hawa watu wote kila mtu akilipa elfu 10 Kwa mwaka ni pesa ndefu

Kulipa Kodi ni jukumu la kila anayeingiza kipato

Kama serikali inatoza Kodi mlinzi wa SUMA JKT, mwalimu, police, nurse n. K sio haki kumpotezea bodaboda anayeingiza zaidi ya elfu 30,000 Kwa siku

Hawa bodaboda wamekuwa ni waharibufu wa miundo yetu ya barabarani kwakuwa hawana uchungu nayo maana hawashiriki kuijenga Kwakuwa hawapi kodi

Hawa bodaboda walevi na fujo zao hawashindwi kulipa Elfu 10 Kwa mwaka ilihali kila siku wanalewa pombe, bangi,na ugolo

Mh Mwigulu ingia ofsini na wataalam wako wa Kodi mpate kuvuna pesa kutoka Kwa hawa bodaboda

Pesa ikipatikana irudi kwenye maendeleo watu tuyaone, siyo mkanunue timu za mipira na kuhonga wapinzani
Hii itarudisha adab barabarani , maana sasa ni kama wana ji regulate wenyewe
 
Back
Top Bottom