ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Bodaboda ni sekta rasmi Kwa Sasa.
Ni dharau kubwa Kwa bodaboda ambao kwasasa wapo zaidi ya watu million 10 hawa watu wote kila mtu akilipa elfu 10 Kwa mwaka ni pesa ndefu
Kulipa Kodi ni jukumu la kila anayeingiza kipato
Kama serikali inatoza Kodi mlinzi wa SUMA JKT, mwalimu, police, nurse n. K sio haki kumpotezea bodaboda anayeingiza zaidi ya elfu 30,000 Kwa siku
Hawa bodaboda wamekuwa ni waharibufu wa miundo yetu ya barabarani kwakuwa hawana uchungu nayo maana hawashiriki kuijenga Kwakuwa hawapi kodi
Hawa bodaboda walevi na fujo zao hawashindwi kulipa Elfu 10 Kwa mwaka ilihali kila siku wanalewa pombe, bangi,na ugolo
Mh Mwigulu ingia ofsini na wataalam wako wa Kodi mpate kuvuna pesa kutoka Kwa hawa bodaboda
Pesa ikipatikana irudi kwenye maendeleo watu tuyaone, siyo mkanunue timu za mipira na kuhonga wapinzani
Ni dharau kubwa Kwa bodaboda ambao kwasasa wapo zaidi ya watu million 10 hawa watu wote kila mtu akilipa elfu 10 Kwa mwaka ni pesa ndefu
Kulipa Kodi ni jukumu la kila anayeingiza kipato
Kama serikali inatoza Kodi mlinzi wa SUMA JKT, mwalimu, police, nurse n. K sio haki kumpotezea bodaboda anayeingiza zaidi ya elfu 30,000 Kwa siku
Hawa bodaboda wamekuwa ni waharibufu wa miundo yetu ya barabarani kwakuwa hawana uchungu nayo maana hawashiriki kuijenga Kwakuwa hawapi kodi
Hawa bodaboda walevi na fujo zao hawashindwi kulipa Elfu 10 Kwa mwaka ilihali kila siku wanalewa pombe, bangi,na ugolo
Mh Mwigulu ingia ofsini na wataalam wako wa Kodi mpate kuvuna pesa kutoka Kwa hawa bodaboda
Pesa ikipatikana irudi kwenye maendeleo watu tuyaone, siyo mkanunue timu za mipira na kuhonga wapinzani