ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
- Thread starter
- #21
Una bonge la hojaHii mie nashauri wapewe kitu Kama leseni so wawe wanazilipia wanatambulika na Kila boda awe na namba iandikwe kwa boda yake, hii leseni akilipia 25-50k kwa mwaka sio mbaya. Yaani awe na leseni na atambulike ili hata Kama kambeba mtu hawafahamiani mtu anaweza akachukua namba yake
Serikali ilitumie wazo lako na ikulipe pesa nyingi