Serikali na wafanyabiashara mmekubaliana nini kuhusu bidhaa 8?

Serikali na wafanyabiashara mmekubaliana nini kuhusu bidhaa 8?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Nilimsikia Kitila Mkumbo akisema kuna bidhaa 8 wamekubaliana na wafanyabiashara kuziingiza kwenye mfumo bila ufafanuzi zaidi na leo nimemsikia tena Mwigilu akisema kuna bidhaa 8 ambazo wafanyabiashara wamekubaliana na serikali ziwe na bei elekezi. Hizo bidhaa ni zipi na serikali wamekubaliana nini hasa na wafanyabishara?

Wafanyabiashara wa nchi hii kutokana na uelewa wao kama walivyo raia wengi wanahitaji kuchungwa hasa na madai yao kuangaliwa kwa makini kama yana maslahi kwa raia walio wengi.
 
Ni bidhaa zipi mwenye kujua atujuze tafadhali.
 
Back
Top Bottom