Serikali na wasomi wa nchi hii mnafanya nini? Je! Ni halali tuwaite wasomi uchwara?

Serikali na wasomi wa nchi hii mnafanya nini? Je! Ni halali tuwaite wasomi uchwara?

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Kama kweli ikiiwa tunataka nchi yetu Ipige hatua, ni vyema kila changamoto inayojitokeza, tuione kama fursa ya kutufikisha pahala!

JPM ingawa hatumpendi, lakini wakati wa Covd 19, yeye aliona kuwa ni fursa, wakati mataifa mengine wakijilockdawon, yeye alihimiza wananchi kuchapa kazi, na mwisho wa siku nchi ikawa kwenye uchumi wa kati, katikati ya dholuba kali, yeye akawajaza wananchi matumaini kuwa, tutavuka!

Naheshimu kada ya wasomi kwa sababu wasomi, ikiwa wataamua kutumia vema taaluma zao, nchi itasogea, lakini pia wasomi wakilala, na nchi inalala, Je sasa wasomi mko usingizini?

Kipindi cha nyuma sana, sikumbuki ni lini, ila nakumbuka tukio moja katika nchi ya China,

Nchini China, hakuna nishati ya mafuta, miaka hiyo kuliibuka mgogoro Mkubwa wa nishati na kupanda sana kwa nishati hiyo ya mafuta kama ilivyo leo!

Kipindi hicho, China ndio ilikuwa kwenye harakati zake za kuujenga uchumi wake, na penye nia pana njia,

Wasomi na viongozi wa nchi hiyo walikaa kwa pamoja ili kutafuta mwarobaini wa kupanda nishati ya Mafuta na nini kama nchi wafanye ili nishati hiyo isiwe sababu ya nchi hiyo kupaa kiuchumi

Wazo walilolibuni! kwa nchi kama ya Tanzania, ni matusi kwa wengi hasa watembelea V8, serikali yake iliamua kuwagawia wafanyakazi wake wote Baiskeli! usafiri ulioruhusiwa kubaki barabarani ni umma pekee, kwa atakaye taka usafiri wa gari, basi atatumia daldala, ili tu harakati za kuivusha nchi yao kuelekea uchumi Mkubwa usikwame

Nikirudi ktk hoja yangu, kwanza Mimi niseme kuwa, ni RAIA wa kawaida kabisa na elimu yangu ni ya kuungaunga! Kwetu sisi wakulima, wakati huu wa ukame na kupanda kwa gharama za maisha, nadhani serikali ndo ingesimama na wakulima hasa kilimo cha umwagiliaji, serikali iwawezeshe na bajeti yake iongezwe na isimamiwe na watu watu kweli,!

Au serikali pamoja na wasomi wetu, mnatumiaje maarifa yenu ambayo serikali inawalipa kwayo?

Mgogoro wa mafuta na kupanda kwa bidhaa zote nchini, mnafanya nini ili iwe ni fursa katika nchi yetu au mnawaza kupandishiana posho tuu lakini ni kipi mnafanya ni hata hakijulikani!

Imekuwa kila mmoja Analia, si msomi na hata wasiosoma, wote wanalalamika, Je, ni Nani sasa anayesimama katikati yetu kusolve matatizo ya wananchi hasa katika kupanda kwa gharama za maisha??
 
Kwa mujibu wa Mimi Wana SII hasa wote ya faa tuwaite Wana SII hasa uchwara🤔
 
Kama kweli ikiiwa tunataka nchi yetu Ipige hatua, ni vyema kila changamoto inayojitokeza, tuione kama fursa ya kutufikisha pahala!

JPM ingawa hatumpendi, lakini wakati wa Covd 19, yeye aliona kuwa ni fursa, wakati mataifa mengine wakijilockdawon, yeye alihimiza wananchi kuchapa kazi, na mwisho wa siku nchi ikawa kwenye uchumi wa kati, katikati ya dholuba kali, yeye akawajaza wananchi matumaini kuwa, tutavuka!

Naheshimu kada ya wasomi kwa sababu wasomi, ikiwa wataamua kutumia vema taaluma zao, nchi itasogea, lakini pia wasomi wakilala, na nchi inalala, Je sasa wasomi mko usingizini?

Kipindi cha nyuma sana, sikumbuki ni lini, ila nakumbuka tukio moja katika nchi ya China,
Hapo kwenye hiyo sentensi toa hayo maneno 'hatumpendi' kwa sababu yapo kwenye wakati uliopo ilihali muhusika hayupo nasi duniani. Isitoshe si wote hawakumpenda; isipokuwa wachache hawakumkubali kutokana na misimamo yake. Wengi wanamlilia hadi leo.

Kuhusu wasomi, kwa mtazamo wangu naona mfumo wetu wa elimu hauwaandai kuwa wataalam na watafiti wakutegemewa kulingana na mahitaji ya taifa. Badala yake unawaandaa wasomi kukariri mambo mengi ambayo hayana tija kwa taifa na hayaendani na mahitaji ya nchi yetu.
Utakuta msomi amekariri falsafa za wanafalsafa waliokufa zamani, au theories za watafiti zilizofanyika miaka mingi iliyopita. Hii inadumaza ufahamu!
 
Kama kweli ikiiwa tunataka nchi yetu Ipige hatua, ni vyema kila changamoto inayojitokeza, tuione kama fursa ya kutufikisha pahala!

JPM ingawa hatumpendi, lakini wakati wa Covd 19, yeye aliona kuwa ni fursa, wakati mataifa mengine wakijilockdawon, yeye alihimiza wananchi kuchapa kazi, na mwisho wa siku nchi ikawa kwenye uchumi wa kati, katikati ya dholuba kali, yeye akawajaza wananchi matumaini kuwa, tutavuka!

Naheshimu kada ya wasomi kwa sababu wasomi, ikiwa wataamua kutumia vema taaluma zao, nchi itasogea, lakini pia wasomi wakilala, na nchi inalala, Je sasa wasomi mko usingizini?

Kipindi cha nyuma sana, sikumbuki ni lini, ila nakumbuka tukio moja katika nchi ya China,

Nchini China, hakuna nishati ya mafuta, miaka hiyo kuliibuka mgogoro Mkubwa wa nishati na kupanda sana kwa nishati hiyo ya mafuta kama ilivyo leo!

Kipindi hicho, China ndio ilikuwa kwenye harakati zake za kuujenga uchumi wake, na penye nia pana njia,

Wasomi na viongozi wa nchi hiyo walikaa kwa pamoja ili kutafuta mwarobaini wa kupanda nishati ya Mafuta na nini kama nchi wafanye ili nishati hiyo isiwe sababu ya nchi hiyo kupaa kiuchumi

Wazo walilolibuni! kwa nchi kama ya Tanzania, ni matusi kwa wengi hasa watembelea V8, serikali yake iliamua kuwagawia wafanyakazi wake wote Baiskeli! usafiri ulioruhusiwa kubaki barabarani ni umma pekee, kwa atakaye taka usafiri wa gari, basi atatumia daldala, ili tu harakati za kuivusha nchi yao kuelekea uchumi Mkubwa usikwame

Nikirudi ktk hoja yangu, kwanza Mimi niseme kuwa, ni RAIA wa kawaida kabisa na elimu yangu ni ya kuungaunga! Kwetu sisi wakulima, wakati huu wa ukame na kupanda kwa gharama za maisha, nadhani serikali ndo ingesimama na wakulima hasa kilimo cha umwagiliaji, serikali iwawezeshe na bajeti yake iongezwe na isimamiwe na watu watu kweli,!

Au serikali pamoja na wasomi wetu, mnatumiaje maarifa yenu ambayo serikali inawalipa kwayo?

Mgogoro wa mafuta na kupanda kwa bidhaa zote nchini, mnafanya nini ili iwe ni fursa katika nchi yetu au mnawaza kupandishiana posho tuu lakini ni kipi mnafanya ni hata hakijulikani!

Imekuwa kila mmoja Analia, si msomi na hata wasiosoma, wote wanalalamika, Je, ni Nani sasa anayesimama katikati yetu kusolve matatizo ya wananchi hasa katika kupanda kwa gharama za maisha??
pambana na hali yako.
 
Hapo kwenye hiyo sentensi toa hayo maneno 'hatumpendi' kwa sababu yapo kwenye wakati uliopo ilihali muhusika hayupo nasi duniani. Isitoshe si wote hawakumpenda; isipokuwa wachache hawakumkubali kutokana na misimamo yake. Wengi wanamlilia hadi leo.

Kuhusu wasomi, kwa mtazamo wangu naona mfumo wetu wa elimu hauwaandai kuwa wataalam na watafiti wakutegemewa kulingana na mahitaji ya taifa. Badala yake unawaandaa wasomi kukariri mambo mengi ambayo hayana tija kwa taifa na hayaendani na mahitaji ya nchi yetu.
Utakuta msomi amekariri falsafa za wanafalsafa waliokufa zamani, au theories za watafiti zilizofanyika miaka mingi iliyopita. Hii inadumaza ufahamu!
Doh!
 
Kama kweli ikiiwa tunataka nchi yetu Ipige hatua, ni vyema kila changamoto inayojitokeza, tuione kama fursa ya kutufikisha pahala!

JPM ingawa hatumpendi, lakini wakati wa Covd 19, yeye aliona kuwa ni fursa, wakati mataifa mengine wakijilockdawon, yeye alihimiza wananchi kuchapa kazi, na mwisho wa siku nchi ikawa kwenye uchumi wa kati, katikati ya dholuba kali, yeye akawajaza wananchi matumaini kuwa, tutavuka!

Naheshimu kada ya wasomi kwa sababu wasomi, ikiwa wataamua kutumia vema taaluma zao, nchi itasogea, lakini pia wasomi wakilala, na nchi inalala, Je sasa wasomi mko usingizini?

Kipindi cha nyuma sana, sikumbuki ni lini, ila nakumbuka tukio moja katika nchi ya China,

Nchini China, hakuna nishati ya mafuta, miaka hiyo kuliibuka mgogoro Mkubwa wa nishati na kupanda sana kwa nishati hiyo ya mafuta kama ilivyo leo!

Kipindi hicho, China ndio ilikuwa kwenye harakati zake za kuujenga uchumi wake, na penye nia pana njia,

Wasomi na viongozi wa nchi hiyo walikaa kwa pamoja ili kutafuta mwarobaini wa kupanda nishati ya Mafuta na nini kama nchi wafanye ili nishati hiyo isiwe sababu ya nchi hiyo kupaa kiuchumi

Wazo walilolibuni! kwa nchi kama ya Tanzania, ni matusi kwa wengi hasa watembelea V8, serikali yake iliamua kuwagawia wafanyakazi wake wote Baiskeli! usafiri ulioruhusiwa kubaki barabarani ni umma pekee, kwa atakaye taka usafiri wa gari, basi atatumia daldala, ili tu harakati za kuivusha nchi yao kuelekea uchumi Mkubwa usikwame

Nikirudi ktk hoja yangu, kwanza Mimi niseme kuwa, ni RAIA wa kawaida kabisa na elimu yangu ni ya kuungaunga! Kwetu sisi wakulima, wakati huu wa ukame na kupanda kwa gharama za maisha, nadhani serikali ndo ingesimama na wakulima hasa kilimo cha umwagiliaji, serikali iwawezeshe na bajeti yake iongezwe na isimamiwe na watu watu kweli,!

Au serikali pamoja na wasomi wetu, mnatumiaje maarifa yenu ambayo serikali inawalipa kwayo?

Mgogoro wa mafuta na kupanda kwa bidhaa zote nchini, mnafanya nini ili iwe ni fursa katika nchi yetu au mnawaza kupandishiana posho tuu lakini ni kipi mnafanya ni hata hakijulikani!

Imekuwa kila mmoja Analia, si msomi na hata wasiosoma, wote wanalalamika, Je, ni Nani sasa anayesimama katikati yetu kusolve matatizo ya wananchi hasa katika kupanda kwa gharama za maisha??
Bahati mbaya watu wengi huwa wanatumia neno fursa kwakujilimbikizia mali sio Fursa ya kulikwamua Taifa kwenye matatizo !! Ndio maana utaona wanataaluma wengi wanatamani kuwa kwenye siasa badala ya kuitumikia taaluma yake maana kwenye siasa zipo pesa nyingi sana !!!
 
Bahati mbaya watu wengi huwa wanatumia neno fursa kwakujilimbikizia mali sio Fursa ya kulikwamua Taifa kwenye matatizo !! Ndio maana utaona wanataaluma wengi wanatamani kuwa kwenye siasa badala ya kuitumikia taaluma yake maana kwenye siasa zipo pesa nyingi sana !!!
Daah!

Mkuu, umeongezea jambo hapa!!

Na hili ndilo tatizo kubwa kabisa, najua hatutakubaliana kwenye hili, Ila kuna wakati huwa namwomba Mungu atupatie Kiongozi atakayekuwa dikiteta kwa viongozi kama hao!

Jambo lingine ni kwamba, Mungu atusaidie tupate katiba nzuri na tuwe tayari kuilinda sote na siyo ilindwe na viongozi pekee, kwa sababu viongozi wetu wameonyesha kutokuilinda katiba yetu iliyopo
 
Daah!

Mkuu, umeongezea jambo hapa!!

Na hili ndilo tatizo kubwa kabisa, najua hatutakubaliana kwenye hili, Ila kuna wakati huwa namwomba Mungu atupatie Kiongozi atakayekuwa dikiteta kwa viongozi kama hao!

Jambo lingine ni kwamba, Mungu atusaidie tupate katiba nzuri na tuwe tayari kuilinda sote na siyo ilindwe na viongozi pekee, kwa sababu viongozi wetu wameonyesha kutokuilinda katiba yetu iliyopo
Kweli kabisa !
 
Hapo kwenye hiyo sentensi toa hayo maneno 'hatumpendi' kwa sababu yapo kwenye wakati uliopo ilihali muhusika hayupo nasi duniani. Isitoshe si wote hawakumpenda; isipokuwa wachache hawakumkubali kutokana na misimamo yake. Wengi wanamlilia hadi leo.

Kuhusu wasomi, kwa mtazamo wangu naona mfumo wetu wa elimu hauwaandai kuwa wataalam na watafiti wakutegemewa kulingana na mahitaji ya taifa. Badala yake unawaandaa wasomi kukariri mambo mengi ambayo hayana tija kwa taifa na hayaendani na mahitaji ya nchi yetu.
Utakuta msomi amekariri falsafa za wanafalsafa waliokufa zamani, au theories za watafiti zilizofanyika miaka mingi iliyopita. Hii inadumaza ufahamu!
Exactly.
 
Kama kweli ikiiwa tunataka nchi yetu Ipige hatua, ni vyema kila changamoto inayojitokeza, tuione kama fursa ya kutufikisha pahala!

JPM ingawa hatumpendi, lakini wakati wa Covd 19, yeye aliona kuwa ni fursa, wakati mataifa mengine wakijilockdawon, yeye alihimiza wananchi kuchapa kazi, na mwisho wa siku nchi ikawa kwenye uchumi wa kati, katikati ya dholuba kali, yeye akawajaza wananchi matumaini kuwa, tutavuka!

Naheshimu kada ya wasomi kwa sababu wasomi, ikiwa wataamua kutumia vema taaluma zao, nchi itasogea, lakini pia wasomi wakilala, na nchi inalala, Je sasa wasomi mko usingizini?

Kipindi cha nyuma sana, sikumbuki ni lini, ila nakumbuka tukio moja katika nchi ya China,

Nchini China, hakuna nishati ya mafuta, miaka hiyo kuliibuka mgogoro Mkubwa wa nishati na kupanda sana kwa nishati hiyo ya mafuta kama ilivyo leo!

Kipindi hicho, China ndio ilikuwa kwenye harakati zake za kuujenga uchumi wake, na penye nia pana njia,

Wasomi na viongozi wa nchi hiyo walikaa kwa pamoja ili kutafuta mwarobaini wa kupanda nishati ya Mafuta na nini kama nchi wafanye ili nishati hiyo isiwe sababu ya nchi hiyo kupaa kiuchumi

Wazo walilolibuni! kwa nchi kama ya Tanzania, ni matusi kwa wengi hasa watembelea V8, serikali yake iliamua kuwagawia wafanyakazi wake wote Baiskeli! usafiri ulioruhusiwa kubaki barabarani ni umma pekee, kwa atakaye taka usafiri wa gari, basi atatumia daldala, ili tu harakati za kuivusha nchi yao kuelekea uchumi Mkubwa usikwame

Nikirudi ktk hoja yangu, kwanza Mimi niseme kuwa, ni RAIA wa kawaida kabisa na elimu yangu ni ya kuungaunga! Kwetu sisi wakulima, wakati huu wa ukame na kupanda kwa gharama za maisha, nadhani serikali ndo ingesimama na wakulima hasa kilimo cha umwagiliaji, serikali iwawezeshe na bajeti yake iongezwe na isimamiwe na watu watu kweli,!

Au serikali pamoja na wasomi wetu, mnatumiaje maarifa yenu ambayo serikali inawalipa kwayo?

Mgogoro wa mafuta na kupanda kwa bidhaa zote nchini, mnafanya nini ili iwe ni fursa katika nchi yetu au mnawaza kupandishiana posho tuu lakini ni kipi mnafanya ni hata hakijulikani!

Imekuwa kila mmoja Analia, si msomi na hata wasiosoma, wote wanalalamika, Je, ni Nani sasa anayesimama katikati yetu kusolve matatizo ya wananchi hasa katika kupanda kwa gharama za maisha??
Kwa ufupi kitu kinacholeta au kuchochea ukuaji wa uchumi,ni taasisi za kisiasa na mfumo wa kisiasa tulio nao,mfumo huo ndio utaunda aina ya taasisi za kiuchumi.
Sasa sisi hapa tuna mfumo mbovu wa kisiasa,mfumo mzima upo katika kuhakikisha tabaka tawala linakuwa salama kuendelea kutawala na kuitafuna nchi,Hawa hawawezi kuja na dawa ya uchumi mbovu,kama wanachukua tilioni kadhaa kwenda kununua Ndege lakini kilimo Wala hakipewi kipaumbele,
Ni mawwili,ama hawataki kupambana na kuwatoa wananchi kwenye umaskini,au hawajuhi hata jinsi ya kufsnya.
Nchi ambayo mtu anazuiwa kuingia uwanja wa mpira kisa amevaa tisheti ya katiba mpya.
 
Madili yanaturudisha nyuma, JPM alijaribu kuyapunguza na akachukiwa na wahusika. Hebu kila mtu atumie taaluma yake kwa uadilifu na uzalendo tuone uchumi utakavyopaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo, ni wasomi uchwari wa kula kwa urefu wa kamba zao...
 
Wehu wenye hofu.
Na wanakwamisha elimu ili kujilinda wasipigwe chini.
 
Unaitafuta PhD kwa jasho. Halafu wanawapigia makofi std seven failure kina kibajaji na msukuma bungeni. Ndo watunga sheria.
Kila mtu anakimbilia siasa akaruke sarakasi bungeni.akitoa hapo posho imeingia.
 
Usomi unatakiwa ukuuongezee hekima na fikra ambazo zitakuvusha mipaka ili kuwa na uwezo wa utatuzi wa changamoto mbalimbali kwenye mazingira tunamoishi. Lakini pia kutambua dunia inahitaji mchanganyiko wa fikra ili kupata maendeleo.
 
Back
Top Bottom