Serikali oneni aibu kwenye suala la umeme uwanja wa Benjamin Mkapa

Serikali oneni aibu kwenye suala la umeme uwanja wa Benjamin Mkapa

Mimi ni mtu positive sana. Yapo mambo mengi ya hovyo yanayodhihirisha incompetence ya watu wetu wenye mamlaka na watendaji wao lakini nayavumilia tu cause niliazimia kutojisumbua kichwa kwa vitu vilivyo juu ya uwezo wangu kusolve. Lakini kwenye swala la hicho unachokiita "umeme kucheza kidogo" na kusababisha mechi isiendelee kuchezwa kilituma wrong signal kwa watu wanaojinasibu kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji Tanzania. Kuvutia uwekezaji, sijui utalii, bila kujipanga kuwa na umeme wa uhakika ni michezo ya kuigiza. Embu kuweni serious japo kidogo dah!
Kisayansi hiyo ilikuwa ni technical Fault. Hakuna kitu chochote kinachotengenezwa na mwanadamu kikakosa kupatwa na tatizo hata dogo siku moja. Hata huko kwa wenzetu hayo hutokea, tatizo lingekuwa hilo suala linajirudia rudia kila mara. Si kila siku tunaangalia mechi za mpira za usiku hapo hapo, haya huwa yanatokea mara kwa mara kweli?
 
Itakuwa LUKU iliisha, na vibanda vya M-Pesa vimefungwa
 
Kwani umeme ulikatika? Mbona mimi sikuona? Nilichoona ni umeme kucheza kidogo ukasababisha baadhi ya taa kuzimika ingawa zingine ziliendelea kuwaka. Kwa nature ya hizo taa, huwa zikizima zinawaka taratibu sana. So ilibidi wazisubiri ziwake kabisa zote ndipo mechi iendelee. Lilikuwa ni tatzo la kiteknolojia tu. Tusipende kuchukulia kila kitu negative kila siku. Mbona mechi za ligi za usiku mmekuwa mkiziangalia kwa miaka yote bila matatizo?
Umeme kucheza si ndio suala la Tanesco
 
Apa Kuna wahuni wachache Wana taka kumwagia mchanga lishe ya maharage na January na kumuaibisha bimkubwa acheni hujuma waungwana hivi baba akiaibika si ni familia nzima mna fedheheka acheni roho mbaya.
 
Hivi hao wataalamu wa TANESCO wanaweza kulielezaje hili suala la kukatika umeme katika uwanja wa Mkapa?

Katika nchi inayofuata utawala Bora, akina January Makamba na mwenzake Maharage Chande, inabidi wawajibuke mara moja

Wakigoma kuwajibika, inabidi aliyewateua, Rais Samia awafute kazi Kwa kulisababishia aibu kubwa Taifa letu, Kwa kuwa tumeendelea kuweka historia mbaya, Kwa kuwa ni Taifa la kwanza, kutokea aibu ya aina hii, ya kukatika Kwa umeme katika uwanja mkubwa kama huo wa Mkapa, kukatika umeme![emoji41]
Hichi ndio wabaya wanakitaka lakini sikuzote wambili havai Moja hizi kazi na vyeo ni kama vita.
 
Back
Top Bottom