Serikali/Polisi Mkoa wa Mbeya mna ugomvi gani na Mtumishi wa Yesu Kristo Mch Mbarikiwa Mwakipesile..?

Serikali/Polisi Mkoa wa Mbeya mna ugomvi gani na Mtumishi wa Yesu Kristo Mch Mbarikiwa Mwakipesile..?

Mbarikiwa ana shida ya akili
Hizi kauli dhidi ya watumishi wa kweli wa Mungu si ngeni..

Yesu Kristo hakuitwa tu "hana akili" au "ana shida ya akili", aliambiwa na watawala wa serikali za wakati huo na wafuasi wao kuwa ni "shetani, ana pepo Belizebuli"

Lakini huyu Yesu Kristo ndiye aliyeupindua ulimwengu wote. Ndiye MFALME wa WAFALME wote duniani na mbinguni..

Kwake yeye, Kila goti linapigwa na Kila ulimi unakiri kuwa yeye ni Mungu wa kweli..!!
 
Shimba ya Buyenze Mkuu pita hapa mwimbaji wako pendwa yupo pagumu
Asante mkuu.

Kwenye baadhi ya nyimbo zake anasema kuwa atakuja kuuwawa tu maana maadui zake wana nguvu.

Mungu Amtie nguvu japo mimi naamini pengine anahitaji msaada wa afya ya akili maana baadhi ya mambo anayofanya hata ukimuangalia tu yanaonyesha kuwa kuna kitu hakiko sawa.
 
Asante mkuu.

Kwenye baadhi ya nyimbo zake anasema kuwa atakuja kuuwawa tu maana maadui zake wana nguvu.

Mungu Amtie nguvu japo mimi naamini pengine anahitaji msaada wa afya ya akili maana baadhi ya mambo anayofanya hata ukimuangalia tu yanaonyesha kuwa kuna kitu hakiko sawa.
Mungu amsaidie tuu
 
Asante mkuu.

Kwenye baadhi ya nyimbo zake anasema kuwa atakuja kuuwawa tu maana maadui zake wana nguvu.

Mungu Amtie nguvu japo mimi naamini pengine anahitaji msaada wa afya ya akili maana baadhi ya mambo anayofanya hata ukimuangalia tu yanaonyesha kuwa kuna kitu hakiko sawa.
Tupe link mkuu..
 
Mungu wetu ni mungu wa wote, kama ni kweli wanafanya haya Mungu hawahi na wala hachelewi atawanyoosha kwa wakati
Kinachosikitisha na kuniogopesha mimi wanadai huyu mchungaji ni mwehu, amechamganyikiwa..!

Aisee. Hizi ni dharau mbaya sana za viongozi hawa dhidi ya mtu huyu...

Mimi nadhani kwa hatua hii, Mungu Yehova aamue tu ugomvi huu Kwa manufaa ya wengi wanaoonewa..
 
Mkubwa Mungu bro.
Hawa kina sa100 na matawi yake, ni temporary sana.
 
TISS kweli ina meno kwa watu masikini na wasiokuwa na nguvu za kimamlaka na pesa ila kwa wenye pesa na wenye mamlaka ya juu wanakuwa vibogoyo kabisa.

Pamoja na TISS kuna na nguvu kwa normal people na ubogazi wao still kumuua mtoto wa huyo mbarikiwa ni kitu kisichowezekana hata kama wangekuwa bogazi vipi, wanamuua kwa lipi na point ya kumuua ni ipi ? Huyo mbarikiwa ana impact gani nchi hii zaidi ya waumini wake wasiofika hata 200. TISS waache kumuua huyu mbarikiwa waende wakaue mtoto innocent [emoji38] lengo ni nini kwamba wameshindwa kumuua mlengwa mwenyewe ? Mtoto wa mbarikiwa amekufa lini ? Na Masoro amepata u DGIS lini? Hata kama alikuwa deputy na director wa internal affair still hakuna mashiko ya kufanya ivyo. Mtoto amekufa August 2022 , huyo Masoro kawa DGIS 2023 [emoji38].

Huyo mbarikiwa kinachomsubua ni Afya ya Akili tena ukichanganya na dini ndo kabisa matokeo yake haya kusema mtoto ameuliwa , kila fallacy inayokuja kichwani mwake basi anaichukulia kama maono au kitu halisi.

Uzuri haya mambo ya imani yanakinga watu wasionekane machizi , maana imani unaweza ukaamini chochote kile ilimradi ni kitu kisicho na uthibitisho ndo maana kuna yule nan sijui ana id ya kieebrania (mwalimu) na wenzake wanatuambia Tanganyika ndipo Eden mpaka mambo ya vitabu vya isaya wanasema ni utabiri kuhusu Tanganyika [emoji23][emoji23].

Huyo mbarikiwa hana tofauti na kina Mackenzie.
 
#
TISS kweli ina meno kwa watu masikini na wasiokuwa na nguvu za kimamlaka na pesa ila kwa wenye pesa na wenye mamlaka ya juu wanakuwa vibogoyo kabisa.

Pamoja na TISS kuna na nguvu kwa normal people na ubogazi wao still kumuua mtoto wa huyo mbarikiwa ni kitu kisichowezekana hata kama wangekuwa bogazi vipi, wanamuua kwa lipi na point ya kumuua ni ipi ? Huyo mbarikiwa ana impact gani nchi hii zaidi ya waumini wake wasiofika hata 200. TISS waache kumuua huyu mbarikiwa waende wakaue mtoto innocent [emoji38] lengo ni nini kwamba wameshindwa kumuua mlengwa mwenyewe ? Mtoto wa mbarikiwa amekufa lini ? Na Masoro amepata u DGIS lini? Hata kama alikuwa deputy na director wa internal affair still hakuna mashiko ya kufanya ivyo. Mtoto amekufa August 2022 , huyo Masoro kawa DGIS 2023 [emoji38].

Huyo mbarikiwa kinachomsubua ni Afya ya Akili tena ukichanganya na dini ndo kabisa matokeo yake haya kusema mtoto ameuliwa , kila fallacy inayokuja kichwani mwake basi anaichukulia kama maono au kitu halisi.

Uzuri haya mambo ya imani yanakinga watu wasionekane machizi , maana imani unaweza ukaamini chochote kile ilimradi ni kitu kisicho na uthibitisho ndo maana kuna yule nan sijui ana id ya kieebrania (mwalimu) na wenzake wanatuambia Tanganyika ndipo Eden mpaka mambo ya vitabu vya isaya wanasema ni utabiri kuhusu Tanganyika [emoji23][emoji23].

Huyo mbarikiwa hana tofauti na kina Mackenzie.@Rabon unaitwa huku
 
Ana tafuta kiki, Serikali imuue mtoto wake kwa interest zipi au ana threat zipi kwa nchi.
Kama alimtoa kafara asimtafute mchawi kuchafua watu.
Sawa.

Lakini anayetuhumiwa kwa kuua yaani DG wa TISS na aliowatuma wachukuliwe hatua za kisheria ikiwemo kufikishwa mahakamani ili hii kauli kuwa "alimtoa kafara mwanae" akaitoe huko kama uthibitisho Kwa ku - prove innocence yake..

Lakini as for now, yeye ni muuaji anayelindwa na mamlaka iliyo juu yake..
 
TISS kweli ina meno kwa watu masikini na wasiokuwa na nguvu za kimamlaka na pesa ila kwa wenye pesa na wenye mamlaka ya juu wanakuwa vibogoyo kabisa.

Pamoja na TISS kuna na nguvu kwa normal people na ubogazi wao still kumuua mtoto wa huyo mbarikiwa ni kitu kisichowezekana hata kama wangekuwa bogazi vipi, wanamuua kwa lipi na point ya kumuua ni ipi ? Huyo mbarikiwa ana impact gani nchi hii zaidi ya waumini wake wasiofika hata 200. TISS waache kumuua huyu mbarikiwa waende wakaue mtoto innocent [emoji38] lengo ni nini kwamba wameshindwa kumuua mlengwa mwenyewe ? Mtoto wa mbarikiwa amekufa lini ? Na Masoro amepata u DGIS lini? Hata kama alikuwa deputy na director wa internal affair still hakuna mashiko ya kufanya ivyo. Mtoto amekufa August 2022 , huyo Masoro kawa DGIS 2023 [emoji38].

Huyo mbarikiwa kinachomsubua ni Afya ya Akili tena ukichanganya na dini ndo kabisa matokeo yake haya kusema mtoto ameuliwa , kila fallacy inayokuja kichwani mwake basi anaichukulia kama maono au kitu halisi.

Uzuri haya mambo ya imani yanakinga watu wasionekane machizi , maana imani unaweza ukaamini chochote kile ilimradi ni kitu kisicho na uthibitisho ndo maana kuna yule nan sijui ana id ya kieebrania (mwalimu) na wenzake wanatuambia Tanganyika ndipo Eden mpaka mambo ya vitabu vya isaya wanasema ni utabiri kuhusu Tanganyika [emoji23][emoji23].

Huyo mbarikiwa hana tofauti na kina Mackenzie.
Wewe unauliza Mbarikiwa ana impact gani kwa nchi..waliomkamata mtoto wake Mbarikiwa kwa sababu ya kuimba wimbo, wimbo una impact gani kwa nchi hadi wamkamate..usiwasemee TISS, waambie wajibu anayosema Mch. Mbarikiwa wao wenyewe..! si kitu cha ajabu TISS kutuhumiwa kupoteza watu, kwa nini wanawapoteza..waulize wao!
Nchi yoyote inapofikia hatua ya kutoona mipaka kati ya bunge, serikali na mahakama..unachoona ni kitu kimoja, na mbaya zaidi jeshi pia linahusishwa kupewa vyeo kisiasa kama njia ya kuwanyamazisha, Mungu hutumia watu wake YEYE MWENYEWE kwa kusudi maalum kupambana na UOVU! anachofanya Mch. Mbarikiwa usidhani ni kitu cha kawaida, ndio maana wenzako wanaona kama ana matatizo ya akili..Ipo siku utaona matokeo ya anayofanya sasa!
Hakuna nchi yoyote ambayo chombo kama TISS kinateua watu wote serikalini, mahakama, bunge nk imewahi kuwa salama..ni suala la muda tu! TISS wanateua maRCO, MaRPC, waendesha mashitaka nk hata nafasi ambazo zilitakiwa watu wapimwe kwa uzoefu, umri kazini na utendaji wao yote hayo hawayahitaji..wanachotaka ni kuweka wanayemtaka ili iwe rahisi kumuingilia kiutendaji afanye wanachotaka wao...! kama nchi tuko kwenye hatari, na mbaya kabisa hao TISS wenyewe wengi wao ni vijana wadogo wasiostahili kupewa majukumu ambayo TISS inapaswa kufanya kwa nchi..ndio maana ya matatizo yote haya, DP world, Ngorongoro, uonevu mwingi, chaguzi mbovu, hawataki katiba mpya, wizi kila mahali nk! hii ni case ya watanzania wote kudeal na TISS, wala si Rais au wanasiasa..NOOOOO!
 
JPM alijaribu kidogo Kwa Askofu Zakaria Kakobe na Niwemungizi kwa kigezo hikihiki cha Uraia...

Lakini haraka sana akajirekebisha na akapata bonus ya kuishi miaka kama 4 au 5 lakini kwa kiburi chake cha ndani a ndani akashindwa kuomba toba, akafa kifo cha aibu sana..

Huyu Jezebel kama tu Jezebel halisi wa kwenye Biblia alivyokumbana na mkono wa Bwana, vivyo hivyo huyu atakavyoishia..
Mungu hapendi kiburi, JPM aliendekeza ujinga wa kusifiwa..yale yale ya mfalme Sauli na mbaya zaidi ulevi wa madaraka ukamlevya akafanya mambo ya aibu uchaguzi wa 2020, Mungu akachora mstari hakufika popote pamoja na hao wapambe wake kufanya siri ya anachoumwa, ila kifo haikuwa siri!
 
TISS kweli ina meno kwa watu masikini na wasiokuwa na nguvu za kimamlaka na pesa ila kwa wenye pesa na wenye mamlaka ya juu wanakuwa vibogoyo kabisa.

Pamoja na TISS kuna na nguvu kwa normal people na ubogazi wao still kumuua mtoto wa huyo mbarikiwa ni kitu kisichowezekana hata kama wangekuwa bogazi vipi, wanamuua kwa lipi na point ya kumuua ni ipi ? Huyo mbarikiwa ana impact gani nchi hii zaidi ya waumini wake wasiofika hata 200. TISS waache kumuua huyu mbarikiwa waende wakaue mtoto innocent [emoji38] lengo ni nini kwamba wameshindwa kumuua mlengwa mwenyewe ? Mtoto wa mbarikiwa amekufa lini ? Na Masoro amepata u DGIS lini? Hata kama alikuwa deputy na director wa internal affair still hakuna mashiko ya kufanya ivyo. Mtoto amekufa August 2022 , huyo Masoro kawa DGIS 2023 [emoji38].

Huyo mbarikiwa kinachomsubua ni Afya ya Akili tena ukichanganya na dini ndo kabisa matokeo yake haya kusema mtoto ameuliwa , kila fallacy inayokuja kichwani mwake basi anaichukulia kama maono au kitu halisi.

Uzuri haya mambo ya imani yanakinga watu wasionekane machizi , maana imani unaweza ukaamini chochote kile ilimradi ni kitu kisicho na uthibitisho ndo maana kuna yule nan sijui ana id ya kieebrania (mwalimu) na wenzake wanatuambia Tanganyika ndipo Eden mpaka mambo ya vitabu vya isaya wanasema ni utabiri kuhusu Tanganyika [emoji23][emoji23].

Huyo mbarikiwa hana tofauti na kina Mackenzie.
Huwezi kujua kwa sababu wewe na yeye (Mch Mbarikiwa) mnaishi ktk frequency za ulimwengu tofauti kabisa.

Kwa macho yako unamwona kama hana impact yoyote iwe kumuulia mtoto wake au kumuua yeye mwenyewe, lakini wenzio hao waabudu miungu wanajua impact yake na wanajua wanachokifanya na sababu yake.

Hapo ni falme mbili zinazopambana. Ufalme wa uovu na maovu vs ufalme wa NURU na HAKI.

Mungu hutumia wanaonekana wanyonge, kapuku, waliodharaulika na kutwezwa ili kudhihirisha nguvu na uwezo wake ktk ulimwengu huu kwa kusudi la kuwaaibisha wanaojiona wenye nguvu na bora.

Rejea tukio la wakoma wanne lililo rekodiwa kwenye biblia yako ktk kitabu cha 2 Wafalme sura ya 7 yote na ili kupata mantiki vizuri anzia sura ya 5, 6 na ingia hiyo ya 7.

Wakoma ni watu waliokuwa wanyonge sana na kutengwa na jamii yote. Hata hivyo, Mungu aliamua kuwatumia hao hao ili kuikoa nchi yote ya Samaria iliyokuwa kwenye changamoto ngumu za kiuchumi na njaa tokana na vita na nchi jirani yao ya Waaramu au Washami.

Kabla ya hapo wenye hekima ya kidunia, wasomi wa udaktari na uprofesa wa nchi ya Samaria walishatumia kila aina ya ujuzi na maarifa na hekima yao waliyoipata darasani kutafuta majibu ya changamoto hizo bila mafanikio.

Lakini Mungu akapitia kwa wakoma wale wanne waliokuwa wanadharaulika na kila mtu na kuikoa nchi yote na kuwakimbiza maadui wao - jeshi la Washami na kuondoka kabisa kwenye nchi yao. Nchi ya Samaria ikapona.

Kwa hiyo, Mungu anaweza kutumia kitu kinyonge kabisa kuleta muujiza. Acha dharau na kama hujui au huna la kusema, hekima ikuongoze kunyamaza kimya.

Nakuhakikishia jambo moja kuwa, kupitia Mch Mbarikiwa Mwakipesile, jambo kubwa linakwenda kutokea nchi hii na hapo ndipo utakapokiri kwa kinywa chako kusema; "..loooh, kumbe huyu ni mtu wa Mungu wa kweli."
 
mwakipesile anastahili kwenda huko alikoenda, apambane na hali yake, asishirikishe maumivu yake watu wengine. ameacha karama ya uimbaji Mungu amempa, tena kubwa, anajifanya mchungaji tena mjeuri. akitoka huko atakuwa amenyooka.
 
Back
Top Bottom