Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magendo hata Kwenye pombe yapo TU, watu wanabwia viroba Kama kawaidaKwa maradhi uliyoorodhesha hapo moja kwa moja n maradhi almaarufu kwa matajiri na sio watu wa hali ya chini/kati,,,, N heri serikali iangalie uwezekano wa kupunguza kodi kwenye sukari ila sio kwenye pombe......Unless otherwise wananchi wataendeleza biashara za magendo tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12]Unavyotetea upuuzi kwa nguvu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana mwisho wa siku wabunge Kama wakina Msukuma huwa dharau wazi wazi kabisaMwigulu na cabinet yake katika Wizara Ya Fedha walivyo wendawazimu, wamekaa vikao huko na kulipana posho kutoka kwenye kodi zetu halafu wanakuja na bajeti yao ambayo wanaacha kuongeza kodi kwenye "BIDHAA ZA STAREHE & ANASA" wanakwenda kuongeza kodi kwenye "KILIMO". Hapo wanajiona wameandaa bajet moja nzuri sana inayohitaji kusifiwa...
Kweli kabisa Mwendazake alijaribu kugusa hii biashara akaishindwa, mwisho wa siku akaamua kumpa Bakhresa mashamba bure ili kupunguza nguvu ya hao watu.Aisee usifananishe pombe na vitu vya kijinga tafadhali sana [emoji2]
Sukari Ina siasa yake kama madini na kuna watu wameikamata vizuri hata Magu alishindwa Ile vita akaishia kusema watu wanahodhi sukari Ila hajakamata hata mtu mmoja...
Bajeti ilipita kwenye baraza la mawaziri hata maza alikuwa mwenyekitiMwigulu na cabinet yake katika Wizara Ya Fedha walivyo wendawazimu, wamekaa vikao huko na kulipana posho kutoka kwenye kodi zetu halafu wanakuja na bajeti yao ambayo wanaacha kuongeza kodi kwenye "BIDHAA ZA STAREHE & ANASA" wanakwenda kuongeza kodi kwenye "KILIMO". Hapo wanajiona wameandaa bajet moja nzuri sana inayohitaji kusifiwa...
Naona amehamua kuisimanga pombe uyu mtu!!!!We tetea tu sukari, hiyo nyingine usiisemee vibaya!!!
Si ndio hapo sasa, kama ishu ni chai si wataweka hata asali.Naona amehamua kuisimanga pombe uyu mtu!!!!
sukari inaleta maradhiSi ndio hapo sasa, kama ishu ni chai si wataweka hata asali.
Pombe ina mbadala? Sio fresh...
Amen....sukari inaleta maradhi
pombe inaleta furaha na amani ya moyo
pia mchango wake kwa jamii haufananishwi na chochote