Serikali sikivu - kodi zilizoondolewa na serikali baada ya kupokea maoni ya wananchi ili kuboresha

Hili bandiko mpelekee mamako
 
Tozo zimepunguzwa sana angalia kwenye simu makato yamepungua
pia mbolea tunalipa nusu bei Rais Samia Suluhu anafata matakwa ya watanzania
Wewe ni mpumbavu kutokea maeneo gani ndani ya nchi hii?
 
Wananchi tunataka maendeleo kupitia hizi tozo tumepata maendeleo mengi huduma za afya zimeboleshwa jumla ya vituo 234 vimekamilika pia sekta ya elimu imeboleshwa saizi wanafunzi wanapata mikopo bila shida
Serikali ya kifisadi ya CCM haiwezi kuleta maendeleo Tanzania๐Ÿ‘‡๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ