Nipo hapa tz nimempeleka mtoto wangu shule inaitwa Yemen ipo hapa Dar, shule ambayo unalipia sh.milioni moja kwa mwaka kwa primary.mtoto wangu Alifanya interview na akapasi vizur lakini cha kushangaza baada ya kuanza class mwalimu wake akaniambia mtoto wako hafahamu kabisa itabidi umuanzishe tuition.
Mimi kwa mshangao mkubwa nikajiuliza ilikua na haja gani mtoto wangu kumpeleka shule ya pesa? Ninajua maana ya kutoa pesa na ukailipa shule ni kufundishwa mtoto vizuri na sio kufanywa biashara nyengine ya tuiotion ndani yake. Hii ni biashara ndani ya biashara, iv kweli hapa elimu ipo au nimepoteza hela yangu?kwanini shule ya pesa iendeshe tuition ndani yake au walimu hawapati mshahara wao kama kawaida? Ni jambo la kushangaza. Je na kama mtoto wangu atakua hasomi hii tuiotion anayoitaka mwalimu ndio itakua nimepoteza hela yanguna atakua hawezi kufaulu chochote?hapa nimeanza kupatwa na waswas mkubwa sana, na sidhani kwamba wanataka asome tuiotion kwa kumuongeza juhudi isipokua ni biashara tuu.
My take: Serikali iunde kamati ambayo iwe ya kila mwaka kwakua ikiwa ni ya kudumu inaweza ikatawaliwa na rushwa.kusimamia shule zote za binafsi kuanzia kuyakagua masomo,nidhamu,mazingira ya shule,serikali itathmini masomo yale kuanzia nasery,primary,secondary mpaka vyuo.
Baada ya tathimini itoe beii kutokana na elimu,nidhamu na mazingira ya shule husika.
Mimi kwa mshangao mkubwa nikajiuliza ilikua na haja gani mtoto wangu kumpeleka shule ya pesa? Ninajua maana ya kutoa pesa na ukailipa shule ni kufundishwa mtoto vizuri na sio kufanywa biashara nyengine ya tuiotion ndani yake. Hii ni biashara ndani ya biashara, iv kweli hapa elimu ipo au nimepoteza hela yangu?kwanini shule ya pesa iendeshe tuition ndani yake au walimu hawapati mshahara wao kama kawaida? Ni jambo la kushangaza. Je na kama mtoto wangu atakua hasomi hii tuiotion anayoitaka mwalimu ndio itakua nimepoteza hela yanguna atakua hawezi kufaulu chochote?hapa nimeanza kupatwa na waswas mkubwa sana, na sidhani kwamba wanataka asome tuiotion kwa kumuongeza juhudi isipokua ni biashara tuu.
My take: Serikali iunde kamati ambayo iwe ya kila mwaka kwakua ikiwa ni ya kudumu inaweza ikatawaliwa na rushwa.kusimamia shule zote za binafsi kuanzia kuyakagua masomo,nidhamu,mazingira ya shule,serikali itathmini masomo yale kuanzia nasery,primary,secondary mpaka vyuo.
Baada ya tathimini itoe beii kutokana na elimu,nidhamu na mazingira ya shule husika.