Iringa to Dar angeweza kufika Jumamosi hiyo hiyo na kuunganisha DRC. Haondoki leo wala keshoNdio ivo inaonekana neno anatakiwa aende ulijua nimesema ameenda.
Barafu la moto
Iringa to Dar angeweza kufika Jumamosi hiyo hiyo na kuunganisha DRC. Haondoki leo wala kesho
Wewe ni mbumbumbu mmoja huna uwezo wa kumpokonya chchte simba siyo timu ya taifaTunampokonya working permit mpuuzi huyu
Pambaneni na hali yenu mikia!Nimesema atasingizia anaondoka kwa sababu za kiusalama, kumbe anakimbia ukata
Umeandika mengi pumba tuu hujatoa sababu ya msingi kwa nini Zahera ashughulikiwe na amefanya usaliti upi. Haukufundishwa kuandika Insha?Huyu ameamua kusaliti watanzania waliomweka hapa nchini. Tunaweza wasamehe watanzania ambao ni yanga wanaoisaidia AS Vita lakini hatuwezi samehe mkongo anayekula pesa za Watanzania anayewasaidia AS Vita.
Hata ingetokea kocha wa simba akasema aisaidie team ya nchi yake il hali anaishi tanzania anatumia kodi za watanzania angeshughulikiwa tu.
Zahera amevuka mipaka....nadhani aoneshwe mwisho wa mipaka yake ni wapi. Otherwise tukizidi kucheka na nyani tutavuna mabua. Sheria ichukue mkondo wake katika hili.
muuache kiherehere nyie maboya wa simba hakuna hela yenu inayomlipa Zahera ,nisisi Yanga chama kubwa tunaomlipa na ndiyo tumempa uhuru huoHuyu ameamua kusaliti watanzania waliomweka hapa nchini. Tunaweza wasamehe watanzania ambao ni yanga wanaoisaidia AS Vita lakini hatuwezi samehe mkongo anayekula pesa za Watanzania anayewasaidia AS Vita.
Hata ingetokea kocha wa simba akasema aisaidie team ya nchi yake il hali anaishi tanzania anatumia kodi za watanzania angeshughulikiwa tu.
Zahera amevuka mipaka....nadhani aoneshwe mwisho wa mipaka yake ni wapi. Otherwise tukizidi kucheka na nyani tutavuna mabua. Sheria ichukue mkondo wake katika hili.
Hivi kuna siku Simba mlimpa Zahera siri zenu? Na ni siri gani anayoijua Zahera inayowatisha hadi muwe na hofu kiasi hiki? Kama ni formation na tactics siku hizi watu wanakaa kwenye chumba wanaangalia replay mechi zenu tatu zilizopita wanapata kila kitu, sasa mnadhani kuna wanaloweza kulitaka Vita kuhusu ninyi wakalikosa popote hadi wapewe na Zahera? Au Zahera aliwahi kuwa Mwenyekiti wa kamati ya ufundi Simba?Tunampokonya working permit mpuuzi huyu
Zahera ni mwehu, hajui tofauti ya timu ya taifa na vilabu na akathubutu kusema hamna kocha duniani hawezi isaidia timu ya nchi yake. Sidhani kama Guardiola ataisaidia barcelona iifunge Manu, only in Congo.Huyu ameamua kusaliti watanzania waliomweka hapa nchini. Tunaweza wasamehe watanzania ambao ni yanga wanaoisaidia AS Vita lakini hatuwezi samehe mkongo anayekula pesa za Watanzania anayewasaidia AS Vita.
Hata ingetokea kocha wa simba akasema aisaidie team ya nchi yake il hali anaishi tanzania anatumia kodi za watanzania angeshughulikiwa tu.
Zahera amevuka mipaka....nadhani aoneshwe mwisho wa mipaka yake ni wapi. Otherwise tukizidi kucheka na nyani tutavuna mabua. Sheria ichukue mkondo wake katika hili.
Hilo barafu lako la moto kesho jua linawaka hadi saa sita usiku lazima liyeyukeKocha wa As Vita ni kocha mkuu wa timu ya taifa LA Congo, yupo nchini. Kocha msaidizi anatakiwa atangulie Congo kwenye kambi kwaajiri ya maandalizi maana next week wana mechi.
Yaani asiende wakabadilishane mawazo na kocha mkuu kisa Simba? Acha upopoma.
Barafu la moto
Litayeyuka kwa joto gani wakati lenyewe tu ni la moto?Hilo barafu lako la moto kesho jua linawaka hadi saa sita usiku lazima liyeyuke
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah wewe ndo gongo kabisa nani anasema Okwi hajalipwa?? Mabakuli yako huko vyurani bora timu mpeni Akilimali awe mwenyekiti atawasaidiaUnaongea utadhani una unasaba na Herode, kumbe Mbumbumbu fulani tu, mkaazi wa Buguruni Malapa πππ
Nendeni mkachangishane hela Okwi alipwe, mambo ya kocha wa Yanga nyie yanawahusu nini?