Serikali / Simba mkimalizana na AS Vita Shughulikeni na Zahera

Serikali / Simba mkimalizana na AS Vita Shughulikeni na Zahera

muuache kiherehere nyie maboya wa simba hakuna hela yenu inayomlipa Zahera ,nisisi Yanga chama kubwa tunaomlipa na ndiyo tumempa uhuru huo

Mnamlipa kwa hela gani mliyokua nayo, ombaomba nyinyi?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huyu ameamua kusaliti watanzania waliomweka hapa nchini. Tunaweza wasamehe watanzania ambao ni yanga wanaoisaidia AS Vita lakini hatuwezi samehe mkongo anayekula pesa za Watanzania anayewasaidia AS Vita.

Hata ingetokea kocha wa simba akasema aisaidie team ya nchi yake il hali anaishi tanzania anatumia kodi za watanzania angeshughulikiwa tu.

Zahera amevuka mipaka....nadhani aoneshwe mwisho wa mipaka yake ni wapi. Otherwise tukizidi kucheka na nyani tutavuna mabua. Sheria ichukue mkondo wake katika hili.
Pumbavu kweli,kwani Simba ni timu ya taifa,huu ndo umbumbumbu wenyewe
 
Propaganda za kipumbavu na kisingizio cha kukimbia ukweli kwamba timu zetu mbovu utendaji mbovu kila siku tuna tafuta sababu za kipumbazu ili kuficha maovu yanayo endelea (yaliyomo yamo na kama yalikuwepo basi yata kuwepo).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ameamua kusaliti watanzania waliomweka hapa nchini. Tunaweza wasamehe watanzania ambao ni yanga wanaoisaidia AS Vita lakini hatuwezi samehe mkongo anayekula pesa za Watanzania anayewasaidia AS Vita.

Hata ingetokea kocha wa simba akasema aisaidie team ya nchi yake il hali anaishi tanzania anatumia kodi za watanzania angeshughulikiwa tu.

Zahera amevuka mipaka....nadhani aoneshwe mwisho wa mipaka yake ni wapi. Otherwise tukizidi kucheka na nyani tutavuna mabua. Sheria ichukue mkondo wake katika hili.
Wewe jamaa ni mbumbumbu ulieshikiwa akili na Haji Manara
 
Back
Top Bottom