Serikali sitisheni ajira za walimu wa leseni(vodafasta) ni kero mashuleni

We Rama inaonekana unachuki binafsi tu na hao walimu, kama unafuatilia trend ya performance tangu 2009 hadi sasa utaona ya kwamba kipindi walimu wa leseni wapo mashuleni ufaulu ulikuwa mkubwa ila sasa diploma na graduate kibao ufaulu unashuka.Jipange kivingine acha chuki binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…