Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mei 3 ni siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani ambapo serikali ya Tanzania imesema inawahakikishia kulinda Uhuru wa Vyombo vya Habari.
Hata hivyo serikali imesisitiza jukumu la kuweka maslahi ya Taifa mbele kama ambavyo tasnia nyingine zimekuwa zikifanya.
Aidha wamesema Jukumu la kulinda uhuru wa Vyombo vya Habari sio la serikali pekee bali pia wadau wote.
Siku ya Uhuru wa vyombo vya Habari inafanyika Arusha Kitaifa ambapo mgeni rasmi ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa.
Hata hivyo serikali imesisitiza jukumu la kuweka maslahi ya Taifa mbele kama ambavyo tasnia nyingine zimekuwa zikifanya.
Aidha wamesema Jukumu la kulinda uhuru wa Vyombo vya Habari sio la serikali pekee bali pia wadau wote.
Siku ya Uhuru wa vyombo vya Habari inafanyika Arusha Kitaifa ambapo mgeni rasmi ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa.