Unafiki na Uzandiki ndio unauwa vyombo vya habari.
wanahabari mnapaswa kutoa taarifa ya kweli na ya haki ambayo imejitosheleza,
wanahabari acheni unafiki msikubali kuwa vibaraka, bila kusahau kuwa wazalendo kwa Taifa lenu.
Bado kuna changamoto ya kutokuwa na Uzalendo kwa baadhi ya wanahabari.
Awamu ya 6 imetoa uhuru wa kukosolewa na kuibua ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma ktk serikali kwa masilahi ya umma.