Serikali tafadhali rudisha Fao la Kujitoa

Serikali tafadhali rudisha Fao la Kujitoa

Fao la kujitoa lirudi...tuliofukuzwa kazi tunateseka huku mtaani.
 
Unahoja nzuri..shida Ni kufika sehemu stahiki
 
Kwakweli umejieleza vizuri sana naamini amesikia mana nae nimfuatiliaji mzuri Wa mitandao pengne nae ni member humu
 
Back
Top Bottom