B.G TANTAWI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 495
- 379
Sasa ni wazi kuwa Muundo wa serikali tatu hauepukiki kwa nini?
Tanzania bara siyo Nchi na wala siyo jina lake, Jina halisi ni Tanganyika, kwa vyovyote vile hatuna katiba yetu sisi kama watu wa bara au watanganyika, tunatumia katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambayo ni Muungano wa nchi Mbili za ZANZIBAR NA TANGANYIKA, lakini cha kushangaza Zanzibar wana Katiba yao, Tanganyika hatuna katiba yetu. Well, ikiwa Rasimu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya sasa itabadilishwa katika kipengele cha Serikali tatu kama inavyopendekezwa na Chama cha mapinduzi na baadhi ya watendaji serikalini italeta matatizo, yapi hayo?
Kutakuwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano, katiba ya zanzibar na Katiba ya Tanganyika.
Kumbuka kuwa Zanzibar wana katiba yao Tayari Inasimamiwa na kutekelezwa na Serikali Huru ya ZANZIBAR,
Tanganyika hatuna katiba yetu na hivyo ndo tunapigania mchakato uanze wa kuiandika, ikiwa tutakuwa nayo ni dhahiri kuwa itasimamiwa na kutekelezwa na Serikali huru ya Tanganyika.
Je! Katiba ya Jamhuri ya MUUNGANO wa Tanzania Itasimamiwa na kutekelezwa na nani?
Tanzania bara siyo Nchi na wala siyo jina lake, Jina halisi ni Tanganyika, kwa vyovyote vile hatuna katiba yetu sisi kama watu wa bara au watanganyika, tunatumia katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambayo ni Muungano wa nchi Mbili za ZANZIBAR NA TANGANYIKA, lakini cha kushangaza Zanzibar wana Katiba yao, Tanganyika hatuna katiba yetu. Well, ikiwa Rasimu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya sasa itabadilishwa katika kipengele cha Serikali tatu kama inavyopendekezwa na Chama cha mapinduzi na baadhi ya watendaji serikalini italeta matatizo, yapi hayo?
Kutakuwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano, katiba ya zanzibar na Katiba ya Tanganyika.
Kumbuka kuwa Zanzibar wana katiba yao Tayari Inasimamiwa na kutekelezwa na Serikali Huru ya ZANZIBAR,
Tanganyika hatuna katiba yetu na hivyo ndo tunapigania mchakato uanze wa kuiandika, ikiwa tutakuwa nayo ni dhahiri kuwa itasimamiwa na kutekelezwa na Serikali huru ya Tanganyika.
Je! Katiba ya Jamhuri ya MUUNGANO wa Tanzania Itasimamiwa na kutekelezwa na nani?