Ndugu zangu, tukiwa tunajiandaa na serikali tatu, nashauri watanganyika tuanze kujianda na yafuatayo:-
1. Tuwaambie kabisa wapenzi wa muungano huu, waanze kuanda ikulu yao atakayeishi rais wa huo muungano. Ikulu ya sasa ni mali ya Tanganyika.
2. Tuanze ku edit katiba yetu, YES ni ku edit tuu, kwani tunayo toka 1961 tulpopata uhuru, hivyo tunatakiwa kuondoa mapungufu na kuingiza mawazo mapya, hasa yale ya wazee wa chadema, yeah na ccm kwa ujumla.
3. Tuwaambie hao waumini wa muungano waombe mkopo kutoka ulaya mapema kujenga ukumbi wao wa bunge lao, yeah, otherwise watafanyia kwenye boti za azam, yeah si mbaya azam atauza juice pia.
4. Tuweke mipaka kabisa ya nini kinaruhusiwa kuguswa na muungano na kipi hakiruhusiwi.
Nimeongea kwa lugha ya utani, lakini ukweli ndio huu, vya Tanganyika mwachie Tanganyika, vya sultani mwachie sultani.
Hongera warioba, serikali tatu ndio dawa ya muungano.
1. Tuwaambie kabisa wapenzi wa muungano huu, waanze kuanda ikulu yao atakayeishi rais wa huo muungano. Ikulu ya sasa ni mali ya Tanganyika.
2. Tuanze ku edit katiba yetu, YES ni ku edit tuu, kwani tunayo toka 1961 tulpopata uhuru, hivyo tunatakiwa kuondoa mapungufu na kuingiza mawazo mapya, hasa yale ya wazee wa chadema, yeah na ccm kwa ujumla.
3. Tuwaambie hao waumini wa muungano waombe mkopo kutoka ulaya mapema kujenga ukumbi wao wa bunge lao, yeah, otherwise watafanyia kwenye boti za azam, yeah si mbaya azam atauza juice pia.
4. Tuweke mipaka kabisa ya nini kinaruhusiwa kuguswa na muungano na kipi hakiruhusiwi.
Nimeongea kwa lugha ya utani, lakini ukweli ndio huu, vya Tanganyika mwachie Tanganyika, vya sultani mwachie sultani.
Hongera warioba, serikali tatu ndio dawa ya muungano.