This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Jadili hoja kichwa wazi.Kwa tathmini ya dakika 500 mlizocheza michezo yenu mitano(5). Simbilisi mwaka huu mmepwaya
Jiimarisheni dirisha dogo. Acheni kupanic.
Coastal Union mmeshawapa laki mbili mbili zao. Au bado mnawazingua. Acha ujinga!Yaah muongeze mleta post kweny list yao.
Kama vilabu vikubwa tu huko Ulaya huwa vinachabangwa na vitimu vidogo tena sometimes vile vilivyopanda daraja maimu huo tu, simba ni timu gani isifungwe?
Analalamikia eti wanakamiwa, sasa waungwana kuna timu inaingia uwanjani ikiwa imejiandaa kufungwa tu kisa inacheza na simba kweli?? Huu upuuzi sijui utaisha lini na hizi timu kubwa 2 kuanza kuheshimu vilabu vingine.
Unajua ulichoandika kweli au umetoka usingizini.Sportpesa ... Simba, Yanga, Namungo ...
GSM Wametenga milioni 300.Eti kwa hali yyte utopolo awe bingwa.Mpaka wanaboa, sasa huyo gsm ko ye kila mechi yake na simba lazma milioni 10 hadi 15 zimtoke?? Wana mawazo ya kipuuzi sana na sio ya kishindani.
Uhalifu ambao haujagundulika mwaka Jana hauwezi kuhalalisha uhalifu kuendelea leoSasa ilikuje Coast ambao mdhamini wao GSM alimfunga Yanga katika mechi Muhimu msimu ulio isha,Simba Acheni kulialia hakutawasaidia mmesajili magarasa Sasa pambaneni na Hali yenu.
Hawana akili hawa MakoloWe jamaa akili yako ndogo sana.
Azam kaweka bilioni zaidi ya 200,na ana timu yake kwenye ligi,huyu tusemaje!?
SportPesa yupo Simba na Yanga,nadhani na Namungo,enhee,tusemaje!?
GSM yupo Yanga,Coastal na Namungo,unasemaje!?
Huo ni udhamini,siyo Umiliki. GSM anamiliki club gani hapa nchini!?
Haaaa ujinga huuGSM Wametenga milioni 300.Eti kwa hali yyte utopolo awe bingwa.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ndhani ukisoma hii hapa itakupa mwangaGSM ndiyo Wadhamini Wakuu wa Yanga SC ambayo kwa msimu huu wamedhamiria kuchukua Ubingwa wa NBC Premier League kwa Gharama yoyote na kwa Mbinu zote zile za ndani na nje ya Uwanja.
GSM kuona Mipango yao bado haijakaa sawa ili Kuibeba Yanga SC yao sasa wameamua kutumia Mbinu ya Kipumbavu ambayo hata kwa Sheria za FIFA na za FAIR COMPETITION si tu hazikubaliki bali hazitakiwi pia.
GSM sasa tena kwa kufanya Kimya Kimya / kwa Siri wameamua Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu yaani NBC PREMIER LEAGUE ili zikiwa zinacheza na Yanga SC yao ipate Unafuu wa Ushindi ila Vilabu hivyo vikiwa vinacheza na Wapinzani wao wakubwa Simba SC viwe vinaikazia kwa ama Kuifunga au hata tu kutoka nayo Sare.
Kinachonisikitisha zaidi Uhuni na Upumbavu huu usio na Haki katika Ushindani Michezoni unafanywa na GSM halafu Serikali kupitia Wizara ya Michezo imekaa Kimya, TFF na Bodi ya Ligi wamekaa Kimya na Wahusika Wakuu wa Kupambana na Kuzuia Rushwa na Dalili zake zote TAKUKURU wamekaa Kimya.
Akitokea tu Mtu Mmoja au Klabu Moja ikajipanga vyema kwa Sheria na Ushahidi wa Kutosha juu ya Uhuni na Upumbavu huu wa GSM katika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kwa nia ya kupata Unafuu ikicheza nazo na akaenda Kushtaki FIFA kuna uwezekano mkubwa NBC Premier League ikaingia matatizoni, Klabu Moja kubwa Kufungiwa, huyu Mdhamini wao Mkuu GSM Kushtakiwa na hata Mpira wa Tanzania Kuharibika rasmi.
Hakuna Mfanyabiashara Mstaarabu na Muungwana Tanzania hii kama Mzee Bakhressa na Kampuni yake ya Azam. Na hakuna pia Kampuni ambayo ni Tajiri Tanzania nzima kama ya Azam.
Azam Wana Timu yao ya Azam FC ila kwa miaka Saba sasa wanapambana Kuwa Mabingwa ila bado hawajafanikiwa. Lakini sijawahi ama Kuona au Kusikia mahala popote pale Azam wakizihonga Timu mbalimbali za Ligi Kuu ya Tanzania ili ziiachie na iwe Bingwa japo ina uwezo wa Kifedha maradufu ya hawa Matapeli wa GSM ila wameamua Kupambana kwa Kucheza tu Uwanjani.
Kama GSM kweli walikuwa na nia ya Kuvidhamini Vilabu vya Ligi Kuu ya Tanzania NBC PREMIER LEAGUE walikuwa wapi Kujitokeza pale TFF na Bodi ya Ligi walipokuwa wanatafuta Wadhamini?
Hivi leo hii Mo Dewji na Kampuni yake / Kampuni zake angeamua nae Kufanya Uhuni na Upumbavu huu usio wa Haki unaofanywa na GSM kwa Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu tena Kisirisiri / Kimya Kimya na kuwaambia wawe wanaikamia tu Yanga SC ila zikiwa zinacheza na Simba SC wawe wanailegezea FAIR COMPETITION ingekuwepo?
Sasa kama unatamba kuwa na Kikosi kizuri na unasema msimu huu Kombe ni lako kwa Soka Kubwa unalocheza kwanini unahangaika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kisha unavipa Ahadi ya Tsh Milioni 15 vikiishinda Simba SC na Tsh Milioni 10 vikitoka nayo Sare mpaka unasababisha Wachezaji wa hizo Timu Kuikamia Simba SC, Kuwaumiza kwa Makusudi Wachezaji wake na pale Wakifungwa baada ya Filimbi ya mwisho badala ya kuondoka Uwanjani wanaanza Kuangua Vilio, Kugombana na Kulaumiana mno?
GSM wameshaiharibu Ligi Kuu ya NBC.
Sportpesa ni kits Sponsor tu lakini
GSM kwenye timu ya Yanga anahusika kwenye management ya Yanga ikiwemo kufanya mchakato wa mabadiliko katika klabu, kufanya usajili na kulipa mishahara.
Mwanzo nilisema GSM wanataka kununua ubingwa kwenye vilabu vidogo kwa mgongo wa udhamini.
Tukiomba uthibitisho wa hiko ulichoandika sina hakika kama unaweza fanya hivyo. Kwahiyo hata Makolo FC pia mmehongwa?GSM ndiyo Wadhamini Wakuu wa Yanga SC ambayo kwa msimu huu wamedhamiria kuchukua Ubingwa wa NBC Premier League kwa Gharama yoyote na kwa Mbinu zote zile za ndani na nje ya Uwanja.
GSM kuona Mipango yao bado haijakaa sawa ili Kuibeba Yanga SC yao sasa wameamua kutumia Mbinu ya Kipumbavu ambayo hata kwa Sheria za FIFA na za FAIR COMPETITION si tu hazikubaliki bali hazitakiwi pia.
GSM sasa tena kwa kufanya Kimya Kimya / kwa Siri wameamua Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu yaani NBC PREMIER LEAGUE ili zikiwa zinacheza na Yanga SC yao ipate Unafuu wa Ushindi ila Vilabu hivyo vikiwa vinacheza na Wapinzani wao wakubwa Simba SC viwe vinaikazia kwa ama Kuifunga au hata tu kutoka nayo Sare.
Kinachonisikitisha zaidi Uhuni na Upumbavu huu usio na Haki katika Ushindani Michezoni unafanywa na GSM halafu Serikali kupitia Wizara ya Michezo imekaa Kimya, TFF na Bodi ya Ligi wamekaa Kimya na Wahusika Wakuu wa Kupambana na Kuzuia Rushwa na Dalili zake zote TAKUKURU wamekaa Kimya.
Akitokea tu Mtu Mmoja au Klabu Moja ikajipanga vyema kwa Sheria na Ushahidi wa Kutosha juu ya Uhuni na Upumbavu huu wa GSM katika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kwa nia ya kupata Unafuu ikicheza nazo na akaenda Kushtaki FIFA kuna uwezekano mkubwa NBC Premier League ikaingia matatizoni, Klabu Moja kubwa Kufungiwa, huyu Mdhamini wao Mkuu GSM Kushtakiwa na hata Mpira wa Tanzania Kuharibika rasmi.
Hakuna Mfanyabiashara Mstaarabu na Muungwana Tanzania hii kama Mzee Bakhressa na Kampuni yake ya Azam. Na hakuna pia Kampuni ambayo ni Tajiri Tanzania nzima kama ya Azam.
Azam Wana Timu yao ya Azam FC ila kwa miaka Saba sasa wanapambana Kuwa Mabingwa ila bado hawajafanikiwa. Lakini sijawahi ama Kuona au Kusikia mahala popote pale Azam wakizihonga Timu mbalimbali za Ligi Kuu ya Tanzania ili ziiachie na iwe Bingwa japo ina uwezo wa Kifedha maradufu ya hawa Matapeli wa GSM ila wameamua Kupambana kwa Kucheza tu Uwanjani.
Kama GSM kweli walikuwa na nia ya Kuvidhamini Vilabu vya Ligi Kuu ya Tanzania NBC PREMIER LEAGUE walikuwa wapi Kujitokeza pale TFF na Bodi ya Ligi walipokuwa wanatafuta Wadhamini?
Hivi leo hii Mo Dewji na Kampuni yake / Kampuni zake angeamua nae Kufanya Uhuni na Upumbavu huu usio wa Haki unaofanywa na GSM kwa Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu tena Kisirisiri / Kimya Kimya na kuwaambia wawe wanaikamia tu Yanga SC ila zikiwa zinacheza na Simba SC wawe wanailegezea FAIR COMPETITION ingekuwepo?
Sasa kama unatamba kuwa na Kikosi kizuri na unasema msimu huu Kombe ni lako kwa Soka Kubwa unalocheza kwanini unahangaika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kisha unavipa Ahadi ya Tsh Milioni 15 vikiishinda Simba SC na Tsh Milioni 10 vikitoka nayo Sare mpaka unasababisha Wachezaji wa hizo Timu Kuikamia Simba SC, Kuwaumiza kwa Makusudi Wachezaji wake na pale Wakifungwa baada ya Filimbi ya mwisho badala ya kuondoka Uwanjani wanaanza Kuangua Vilio, Kugombana na Kulaumiana mno?
GSM wameshaiharibu Ligi Kuu ya NBC.
Kwa sababu wewe ni limbukeni huwezi kujua maana. Timu Hamna mwaka huu, mmebaki uchi wa mnyama. Mnaandika Mambo ya hivyo mitandaoni badala ya kurekebisha timu.
Angalia Sasa unavyothibirisha kichwa chako kilivyojaa uharo.Unajua ulichoandika kweli au umetoka usingizini.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Akili za kipumbavu hizi. Kwa hiyo watendaji wa vilabu kuhama ni njama? Mbona ninyi mlimuiba Morrison? Lengo sio kuidhoofisha Yanga? Tumia akili sio ushabiki mbeleGSM kapania kuchukua ubingwa anapambana nje na ndani ya uwanja hilo lipo wazi kabisa haihitaji ubishi.
Mifano ni mingi tu - Senzo kwenda Yanga , Manara kwenda Yanga hao sio wachezaji kumbuka na watamsajili mchezaji yeyote Simba ambaye ni kipenzi cha Simba kuleta taharuk, hii yoote sio kwa ajili mpira wana malengo yao.
Gsm wanajulikana hata kibiashara hawapendi fair wanapenda fitna na kona nyingi kutumia pesa n.k.
Ni waharibifu lakini kwa Yanga watapata mafanikio ya muda mchache na wataharibu saana na hapo Yanga wamewekwa tu waliitaka Simba zaidi - malengo yao kwa anao wajua yapo wazi kabisa, wana pesa nyingi za mkato nyingi tu na hapa nchini watafanikiwa hassa zama hizi.
Muda utaongea.
Mkuu hawa akina mkazuzu na jemedari ni wachambuzi njaa tu wakipigwa laki 2 wanaibuka na vioja visivyo na kichwa wala miguu.- Baadhi ya wachambuzi wameshikia bango suala la FAIR COMPETITION kuhusu (GSM) kuvidhamini baadhi ya vilabu vya ligi kuu 🇹🇿
- Hoja hizo zimeibuliwa na Jemedari Said, Mkazuzu na Shaffih Dauda,, acha nami nitoe mchango wangu kuhusu hilo.
- Hili suala la udhamini unaofanywa na kampuni ya GSM kwa vilabu tofauti limeanza tangu misimu kadhaa nyuma iliyopita,, kwa nini hoja hizi zinaibuka sasa ?
- (FIFA) inazuia vilabu zaidi ya kimoja kumilikiwa na kampuni / mtu mmoja kwenye ligi moja, haizuii UDHAMINI (SPONSORSHIP).
- Kampuni ya (GSM) haimiliki klabu ya Coastal union wala Namungo fc, bali inavidhamini (SPONSORSHIP) hivyo haiwezi kuathiri competition husika.
- Kampuni ya Azam inayomilikiwa na Bakhresa, ina timu ligi kuu Tanzania bara inayoitwa Azam fc, lakini pia inadhamini timu zote kwenye ligi hiyo,, kwa nini wasihoji FAIR COMPETITION kuhusu suala hilo ?!.
- Azam ndio wanatoa pesa nyingi zaidi kwa vilabu, vipi wakiamua kuchelewesha pesa hizo kwa vilabu kwa makusudi, wazuie replay za matukio uwanjani ambayo yanaibeba timu yao hiyo FAIR COMPETITION itakuwepo ?
- Msimu uliopita kampuni ya Metl inayomilikiwa na Mohamed Dewji ilikuwa inaidhamini klabu ya Namungo fc kupitia sabuni ya MO POA, wakati huohuo Metl inaidhamini Simba sc na sio kuidhamini pekee, mmiliki wa kampuni hiyo ana hisa katika klabu ya Simba kwamba ni sehemu ya umiliki wa klabu ya Simba sc,, kwa nini suala la FAIR COMPETITION halikuhojiwa wakati huo ?
- Baada ya Mo sabuni kufika mwisho wa udhamini kwa Namungo fc na GSM kama kampuni kuingia Namungo ndipo hoja za FAIR COMPETITION zimeibuka sasa,, kuna agenda gani ya siri hapo ?!
- Kitu pekee (FIFA) wanapinga ni timu mbili au zaidi KUMILIKIWA na kampuni / mtu mmoja, hawana shida kabisa na kampuni kudhamini timu hata ziwe timu 200 zimedhaminiwa na mtu mmoja.
- Kabla ya Mohamed Dewji kununua hisa Simba sc alikuwa mmiliki wa klabu ya African Lyon, wakati huohuo akiwa mfadhili wa klabu ya Singida Utd,, hoja hizo mbona hazikuibuliwa iwe sasa ?!
- Tangu msimu juzi (GSM) anaidhamini Coastal union, msimu uliopita Yanga sc alifungwa mabao (2-1) na Coastal union, kabla ya kupoteza mchezo dhidi ya Coastal union Yanga ilikuwa haijapoteza mchezo wowote,, hiyo FAIR COMPETITION isingekuwepo Coastal angeweza vipi kuifunga Yanga sc tena wakati Yanga ikiuhitaji zaidi ushindi katika harakati za kuusaka ubingwa !!!
- Kwa sasa naona nibora tumpongeze Azam kuweka pesa kwenye ligi yetu, pesa ambazo zimesababisha ligi iwe ngumu na sio kutafuta vijisababu ambavyo havipo.
Yanga na Msukule wao baada ya kuona yamestukiwa... Yakaanzisha mada ya Chama.... Big up mkazuzu na ShiffihGSM ndiyo Wadhamini Wakuu wa Yanga SC ambayo kwa msimu huu wamedhamiria kuchukua Ubingwa wa NBC Premier League kwa Gharama yoyote na kwa Mbinu zote zile za ndani na nje ya Uwanja.
GSM kuona Mipango yao bado haijakaa sawa ili Kuibeba Yanga SC yao sasa wameamua kutumia Mbinu ya Kipumbavu ambayo hata kwa Sheria za FIFA na za FAIR COMPETITION si tu hazikubaliki bali hazitakiwi pia.
GSM sasa tena kwa kufanya Kimya Kimya / kwa Siri wameamua Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu yaani NBC PREMIER LEAGUE ili zikiwa zinacheza na Yanga SC yao ipate Unafuu wa Ushindi ila Vilabu hivyo vikiwa vinacheza na Wapinzani wao wakubwa Simba SC viwe vinaikazia kwa ama Kuifunga au hata tu kutoka nayo Sare.
Kinachonisikitisha zaidi Uhuni na Upumbavu huu usio na Haki katika Ushindani Michezoni unafanywa na GSM halafu Serikali kupitia Wizara ya Michezo imekaa Kimya, TFF na Bodi ya Ligi wamekaa Kimya na Wahusika Wakuu wa Kupambana na Kuzuia Rushwa na Dalili zake zote TAKUKURU wamekaa Kimya.
Akitokea tu Mtu Mmoja au Klabu Moja ikajipanga vyema kwa Sheria na Ushahidi wa Kutosha juu ya Uhuni na Upumbavu huu wa GSM katika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kwa nia ya kupata Unafuu ikicheza nazo na akaenda Kushtaki FIFA kuna uwezekano mkubwa NBC Premier League ikaingia matatizoni, Klabu Moja kubwa Kufungiwa, huyu Mdhamini wao Mkuu GSM Kushtakiwa na hata Mpira wa Tanzania Kuharibika rasmi.
Hakuna Mfanyabiashara Mstaarabu na Muungwana Tanzania hii kama Mzee Bakhressa na Kampuni yake ya Azam. Na hakuna pia Kampuni ambayo ni Tajiri Tanzania nzima kama ya Azam.
Azam Wana Timu yao ya Azam FC ila kwa miaka Saba sasa wanapambana Kuwa Mabingwa ila bado hawajafanikiwa. Lakini sijawahi ama Kuona au Kusikia mahala popote pale Azam wakizihonga Timu mbalimbali za Ligi Kuu ya Tanzania ili ziiachie na iwe Bingwa japo ina uwezo wa Kifedha maradufu ya hawa Matapeli wa GSM ila wameamua Kupambana kwa Kucheza tu Uwanjani.
Kama GSM kweli walikuwa na nia ya Kuvidhamini Vilabu vya Ligi Kuu ya Tanzania NBC PREMIER LEAGUE walikuwa wapi Kujitokeza pale TFF na Bodi ya Ligi walipokuwa wanatafuta Wadhamini?
Hivi leo hii Mo Dewji na Kampuni yake / Kampuni zake angeamua nae Kufanya Uhuni na Upumbavu huu usio wa Haki unaofanywa na GSM kwa Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu tena Kisirisiri / Kimya Kimya na kuwaambia wawe wanaikamia tu Yanga SC ila zikiwa zinacheza na Simba SC wawe wanailegezea FAIR COMPETITION ingekuwepo?
Sasa kama unatamba kuwa na Kikosi kizuri na unasema msimu huu Kombe ni lako kwa Soka Kubwa unalocheza kwanini unahangaika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kisha unavipa Ahadi ya Tsh Milioni 15 vikiishinda Simba SC na Tsh Milioni 10 vikitoka nayo Sare mpaka unasababisha Wachezaji wa hizo Timu Kuikamia Simba SC, Kuwaumiza kwa Makusudi Wachezaji wake na pale Wakifungwa baada ya Filimbi ya mwisho badala ya kuondoka Uwanjani wanaanza Kuangua Vilio, Kugombana na Kulaumiana mno?
GSM wameshaiharibu Ligi Kuu ya NBC.
We zuzu Morrison angeibwa simngekuwa mshashinda kesi CAS?Akili za kipumbavu hizi. Kwa hiyo watendaji wa vilabu kuhama ni njama? Mbona ninyi mlimuiba Morrison? Lengo sio kuidhoofisha Yanga? Tumia akili sio ushabiki mbele
Na atakuwa tu.GSM Wametenga milioni 300.Eti kwa hali yyte utopolo awe bingwa.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app