Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Tanzania wanaopewa nyazifa hufanya maamuzi bila kuzingatia madharau ya hapo baadae, (the aftermath)Hii ni sawa na una lala kwenye kitanda chenye kunguni halafu akija mgeni unapiga dawa kuwaua kunguni, akiondoka unaendelea na style ile ile ya kuishi na kunguni. Nionavyo mimi aliyeruhusu biashara ya pkpk na bajaj kuingia kati kati ya miji alikosea sana, kungewekwa na utaratibu wafanyie shughuli zao pembezoni ya miji tu ili kuondoa usumbufu na misongamano iyo ya lazima.
Unafahamu mchango wa bodaboda na bajaj kwenye shughuli za uzalishaji katika jiji hili la Dar es salaam? 😲Wabongo wengi vichwa maji sasa serikali imekataza bodaboda na bajaji haijakataza gari binafsi na daladala za garden posta na kivukoni
Mbona kipindi cha nyuma bodaboda hazikuruhusiwa kuingia posta? Au unadhani zimekatazwa kuwepo dar nzima?Unafahamu mchango wa bodaboda na bajaj kwenye shughuli za uzalishaji katika jiji hili la Dar es salaam? 😲
Hapana,ila kwa kiasi chake Arusha ina mzunguko mdogo wa watu kuliko dar es salaam.Kwahiyo huku Arusha sisi ndo hatuna shughuli za kufanya? Au unadhani tunatumia ungo kama means ya usafiri?
Barabara za Arusha ni chache.
Lakini nadhani matumizi ya barabara kwa maana ya magari hayana wingi kama dar.Arusha ndo wangesumbua watu kabisa. Vibarabara vya Arusha ni finyu balaa. Arusha ikifungwa barabara moja tu ni jam ya kutosha hapo mjini kati.
Huu mkutano wangefanyia dodoma uko, si ndo mji wa shughuli za kiserikali. Ila ni basi tu hatuna viongozi wanaowafikiria wananchi wao.
Huo ni mkutano mkubwa. Kama barabar nyingi hivyo zinafungwa huku dar basi huku Arusha watafunga barabara zoteHapana,ila kwa kiasi chake Arusha ina mzunguko mdogo wa watu kuliko dar es salaam.
Athari zitakazopatika hapa dar kwa kufunga barabara hizo ni kubwa mara kadhaa kuliko mkoa mwingine.