Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatakiwa waliangalie kwl kwl maana na jua hyo ukanda ikipelekewa mirad ya maana panabadlka haraka sana kama zle barabara ya bypass haloo skuwa amn kuwa mji inaweza kuwa kwa kas ya ajabu kama vle watu wanajenga mpaka unasema iv n barabara tu imakatza tu hap je hyo sgr syndyo balaaShikamoooo mama popotee ulipoo
Tumewiwaaa kuwaombaaaa mtusaidie jaman watu wa arusha moshiii tupateee na sie sgr
Mungu awabariki sanaaa sanaa kwa hili
Anasoma atafanyaN kweli kabisaa mkuu tukaomba mama asitusahau
Labda angekuwepo jiwe muasisi wa SGR na aliyeifufua reli ya kaskazini iliyojifia more than 30 years ago !!Shikamoooo mama popotee ulipoo
Tumewiwaaa kuwaombaaaa mtusaidie jaman watu wa arusha moshiii tupateee na sie sgr
Mungu awabariki sanaaa sanaa kwa hili
Wameshaelewa somo chiefSi mnasema mradi utakufa ndani ya miezi sita? Mnataka mjengewe kitu kitakachokufa baada ya miezi 6?