Serikali tunaomba treni ya SGR Dar - Moshi - Arusha tumechoka na mabasi

Serikali tunaomba treni ya SGR Dar - Moshi - Arusha tumechoka na mabasi

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Shikamoooo mama popotee ulipoo

Tumewiwaaa kuwaombaaaa mtusaidie jaman watu wa arusha moshiii tupateee na sie sgr

Mungu awabariki sanaaa sanaa kwa hili
 
Shikamoooo mama popotee ulipoo

Tumewiwaaa kuwaombaaaa mtusaidie jaman watu wa arusha moshiii tupateee na sie sgr

Mungu awabariki sanaaa sanaa kwa hili
Wanatakiwa waliangalie kwl kwl maana na jua hyo ukanda ikipelekewa mirad ya maana panabadlka haraka sana kama zle barabara ya bypass haloo skuwa amn kuwa mji inaweza kuwa kwa kas ya ajabu kama vle watu wanajenga mpaka unasema iv n barabara tu imakatza tu hap je hyo sgr syndyo balaa
 
Au kama vipi changeni Pesa..ijengwe kwa pesa zenu..... muisaidie serikali 😀 😀 😀 😀
 
Si mnasema mradi utakufa ndani ya miezi sita? Mnataka mjengewe kitu kitakachokufa baada ya miezi 6?
 
Hili nalo likatizamwe. Mikoa ya kaskazini ndio imebeba uchumi wa nchi hii
 
Shikamoooo mama popotee ulipoo

Tumewiwaaa kuwaombaaaa mtusaidie jaman watu wa arusha moshiii tupateee na sie sgr

Mungu awabariki sanaaa sanaa kwa hili
Labda angekuwepo jiwe muasisi wa SGR na aliyeifufua reli ya kaskazini iliyojifia more than 30 years ago !!
 
Back
Top Bottom